Shibuda maji ya shingo Maswa

Shibuda maji ya shingo Maswa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
137,605
Reaction score
272,345
Taarifa za kampeni kutoka jimboni Maswa zinadokeza kwamba hali ya kisiasa ya mgombea ubunge wa Tadea ndugu Magale Shibuda ni mbaya mno , tetesi zaidi zinasema hana uhakika hata wa kupata kura 100 , hana uwezo hata wa kufanya kampeni , hakika laana ya usaliti ni kubwa na mbaya sana.
 
Pensheni kishalamba yote? Hakusaza za Kampeni? Naona ule wimbo wa mifisiem unamhusu - atasoma namba!
 
Duh, kumbe jamaa alikimbilia TADEA!
Mwana mpotevu yuko mbioni kufutika katika medani ya kisiasa!
 
Kamtoa MZEE mmoja nyashimo amsaidie kwenye kampeni,taarifa zinasema MZEE huyo aligombea uchaguzi wa mitaa akapigwa chini katika ngazi ya kitongoji,chadema jumbo la busega walishamtimua siku nyingi
 
mwache ayaone wewe watu walimpigania akapata ubunge aakaingia na kuanza kuwasigina Mungu hapendi hivyo
 
TADEA!!!!! Mbona Sijaona Hata Wagombea Wao Wa Udiwani Tu POPOTE Pale!!! Nasikia Amezindua Kampeni Last Sunday!!! Tehe! Tehe! Tehe!! Alidhani CCM Wangempa Misaada!! Alijipendekeza Kwao Kwa Kiasi Cha Kukidharirisha CHAMA Kilichompatia Nafasi Ya Kugombea Ubunge!!!! Ndio Kwishineiiii!!!!
 
TADEA!!!!! Mbona Sijaona Hata Wagombea Wao Wa Udiwani Tu POPOTE Pale!!! Nasikia Amezindua Kampeni Last Sunday!!! Tehe! Tehe! Tehe!! Alidhani CCM Wangempa Misaada!! Alijipendekeza Kwao Kwa Kiasi Cha Kukidharirisha CHAMA Kilichompatia Nafasi Ya Kugombea Ubunge!!!! Ndio Kwishineiiii!!!!

Zzk ndiye alikuwa anamtumia
 
Back
Top Bottom