SHIBUDA: CCM imejaa wachumia tumbo!

naona kada wa ccm anatoa maoni yake.vipi unataka ujira wa mwia upandishwe hadi ufikie laki tano,sasa hizi mbili zitakutosha kweli.
 
kwanini usiende kuwaambia wenzako kwenye kwenye vikao we ccm chadema?
 
Huyu si wa kuaminika hata kidogo. Inaelekea matamshi yake ya hivi karibuni amerudi kwao akakuta wananchi waliomchagua wanamjadili na haswa wakijumlisha na vituko vya huyo Mkuu wa Mkoa akajikuta wananchi wake wamekosa imani naye sasa anajaribu kufanya repea. Ni vyema kusubiri majibu ya Mkuu wa Mkoa.
 
huyu jamaa ukimtafakari sana unaweza kuona kama amesha jiwekea kusimama kama mgombea binafsi, na kwa vile ameshaharibu ccm na cdm, japo hata akirudi ccm RASMI bado watampokea kwa mikono miwili, mi naona kama anajitengezea mazingira ya mgombea binafsi ati
 
Kwa wasiomjua Shibuda!

Haya aliikandia CCM. Sasa kahamia kuikandia CDM.

1. Namkumbuka kama mtu aliyekuwa karibu sana na Waziri Kiongozi wa Zanzibar, marehemu Dr Omar Ali Juma.
2. Wengine tulidhani ni kiongozi ktk serikali ya ZNZ
3. Akageuka msemaji wa ZNZ
4. Alifanana sana na Raza wakati wa Dr Salmin, Komandoo.
5. Baadaye serikali ya ZNZ na Dr Omar akamstukia. Alichokipata huko anajua mwenyewe, na sikumbuki kama siku hizi anaenda ZNZ.
6. Wakati kuna fununu kuwa JK angegombe Urais, Shibuda alimtukana sana Jk usiku kukiwa na muziki ukumbi wa hotel ya Dodoma. Akiwa amelewa vilivyo, alimrushia makombora ya matusi JK usiku huo huku akimwambia hawezi kuwa Rais.
7. Shibuda ambaye akilewa ni afadhali ukakumbana na nyati alimsumbua JK, huku akimwambia ****** hawezi kuwa Rais..
8. Tuliokuwepo, tuliona Shibuda kapitiliza ingawa ingedaiwa Msukuma na ****** ni watani. Alimfuata Jk kila kona mpaka Jk akakasirika. Ilifikia hatua ya kumshikilia Shibuda asiendelee kumsumbua JK. Ilitia aibu, na watu wengi walisononeka na kuondoka.
9. Haya Shibuda huyohuyo akiwa na ujumbe wa wajumbe wa CCM mkutano Mkuu (Mkoa wa Shinyanga) na kanda ya Ziwa, ilibidi ateremshwe kwenye treni kutokana na fujo kwenye treni. Walikuwa wakienda Dodoma.
10. Baadaye akapambana na Iddi Simba kwenye Uenyekiti wa Wazazi Taifa. Vurugu tupu. Akashindwa, akata rufaa, ukisoma ile rufaa ya Shibuda ambayo hata haikusikilizwa kutokana na maneno yaliyomo mle hutaamini kama jamaa ni mzima.
11. Hayo ni machache tu...........

CDM inyamaze. Wala hajatumwa, bali mwenzenu nahisi ana matatizo hasahasa na pombe! Uhusiano wake na pombe unapaswa kuvunjika
 
John shibuda inategemea na hali ya hewa yule ni jirani yangu zamani alipatwa na uenda wazimu
alipokuwa anafanyia kazi Zanzibar kama kada wa Chama CCM mambo ya usalama Alitembea bila
nguo akalazwa milembe vip kwa muda wa Miezi kadhaa Mzee abood jumbe Rais wa Zanzibar wakati
ule ndiye aliyemuokoa kwa kumpa msaada mkubwa sana wa matibabu hivyo basi mhe shibuda wakati
wa Baridi kali lazima kichwa kijeuke ni mwezi mchanga hivyo anakuwa anapoteza kumbu kumbu mara kwa
mara wakati wa juu shibuda ana shida Mvua ikinyesha TATIZO KUBWA
 
54996574my3.jpg
Ndio yeye huyu maana haeleweki.
 
hata mimi nachoka kumjadili tazameni barua ya rweyitama katika mwana halisi mtapata majibu
 
kaka hapa umenichana mbavu kinoma unachokisema ni kweli? maana nikimuangalia yule mzee na maelezo yako yanauwiyana sana
 
Na hii mikutano yake ni moja ya mikakati ya M4C au na yeye kaamua kuendesha operation zake kivyakevyake maana jamaa huyu hayuko na wenzake kwenye operations zote za chama. Kazi kweli kweli akumbbuke kuwa kidole kimoja hakivunji chawa.
 
Kumbe waweza kupata umaarufu hata ktk mambo ya ovyo. inanisikitisha sana. Shibuda now ni habari na ina uza na imepata waumini wake
 
Back
Top Bottom