MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,707
- 71,005
- Thread starter
- #21
Ngoja nikapate supu kwanza maana wanaanza kutoka kwenye mada
Hapana hapana hapo mnamuonea, shibuda anasaliti vyama sio wananchi wake, wakati sitta anasaliti wananchi wote kumbuka alivyoichafua katiba ya wananchi
Umesahau huyu aliyekuwa mbunge wa Kyerwa: Asumpta Mshama!!!
Aliposaliti chama chake cha ccm na kuja chadema wananchi walimchagua tena, John Shibuda akawasaliti na chadema akijua alishinda ubunge yeye kama yeye na si chama, kilichompata kila mtu anakijua, kwa sasa sijui atakuwa anafanya shughuli gani, ila nita miss sana mashairi yake bungeni.
Hata Zitto anafuata nyayo za Shibuda.
Hapana hapana hapo mnamuonea, shibuda anasaliti vyama sio wananchi wake, wakati sitta anasaliti wananchi wote kumbuka alivyoichafua katiba ya wananchi
Aliposaliti chama chake cha ccm na kuja chadema wananchi walimchagua tena, John Shibuda akawasaliti na chadema akijua alishinda ubunge yeye kama yeye na si chama, kilichompata kila mtu anakijua, kwa sasa sijui atakuwa anafanya shughuli gani, ila nita miss sana mashairi yake bungeni.
Hata Zitto anafuata nyayo za Shibuda.
Aliposaliti chama chake cha ccm na kuja chadema wananchi walimchagua tena, John Shibuda akawasaliti na chadema akijua alishinda ubunge yeye kama yeye na si chama, kilichompata kila mtu anakijua, kwa sasa sijui atakuwa anafanya shughuli gani, ila nita miss sana mashairi yake bungeni.
Jk kampa u DC
Umesahau huyu aliyekuwa mbunge wa Kyerwa: Asumpta Mshama!!!
Hata Zitto anafuata nyayo za Shibuda.
Hebu Rudia kusoma ulichakiandika, kisha ujipime kama unafaa kuendelea na uana-JF.Simsahau Sumaye na Lowasa na Kingunge Awa wote Niwasaliti Mayuda ...
Umesahau huyu aliyekuwa mbunge wa Kyerwa: Asumpta Mshama!!!
Nimesema makengeza mbowe atasahauliwa, labda kama unataka kunithibitishia kwamba chadema ni makengeza na makengeza ndiyo chadema.
Nioneshe nilipotukana niliombe radhi jukwaa, vinginevyo nitake radhi kwa kunitusi.Mpaka utukane ndo ujue umetoa point? ??!! Mbona akili ya chini sana kaka ?!
Sasa hv ni mwenyekiti mwenza wa URUWA (UMOJA WA RUFAA YA WANANCHI); vyama visivyokuwa na wabunge wala sera; anajaribu kutafuta political relevance baada ya kutupwa jangwani kwa sababu ya kiburi chake na Ngonjera kashfa zake!!!! Good riddance; may he rest in peace!