Usihofu lolote, “Mkataeni Shetani nae atawakimbia…” Haya ni maneno ya Yesu mwenyewe. Ni rahisi tu; mkatae atakumbia tatizo watu wengi wanamkubali ndio maana ana nguvu kwao.Imani yangu ni kwamba Mungu wetu muweza wa yote ataweza pia kutusamehe wanadamu wote tukaEnjoy peponi