maroon7
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 11,341
- 15,829
wanajamvi yaani siku hizi binadamu anavyofanya mambo ya kikatili huwezi dhani kama ni kiumbe chenye akili timamu...mara mtu kasepa na kichwa cha mtu,mara mkono wa mtu,mara vichanga vimebakwa,mara hawa wameuana kwa kudhulumiana,mara tembo wanaisha wakati watu waliapa kulinda maliasili...mara..........yaani utafikiri tumeambiwa shetani kafa so hakuna jehanam....au kafa? Mbona hatuogopi