GE2025 Shetani hana Rafiki: Chawa Shilole atupwa CCM

GE2025 Shetani hana Rafiki: Chawa Shilole atupwa CCM

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Hoja ya elimu ya mgombea imeshapoteza nguvu kwenye nchi hii. Wasomi tulionao Bungeni na Serikalini wameshindwa kuufanya usomi uonekane kuwa na thamani kwa taifa. They’re all corrupted and are as useless as their uneducated colleagues!
Better that at list they know the consequences. Kama kina shishi msukuma wanajua nini kuhusu mikataba DP WORLD nyingine zitasainiwa mbona sana tu 😢 lazima tuogope hata kama tuna wabunge wasomi
 
Ukiangalia mwenendo wa nchi sasa hivi unagundua wastaafu wengi wa zama hizi ni empty kichwani.
 
Back
Top Bottom