..nchi au ccm wnaweka vitukoShi shi food anataka ubunge na standard 4 yake hii nchi mbona tumeweka vituko sana
..nchi au ccm wnaweka vitukoShi shi food anataka ubunge na standard 4 yake hii nchi mbona tumeweka vituko sana
Hadi sasa bado siamini kabisaaaa kwamba ni wewe.Nimeokoka na nimejua njia ya haki na nimetubu
Hahahaha,angepata pia angekuja kuponda kupata kwakeKwahy asipopita, nyie chadema mnapata ahueni gani?
Kwan shilole amewakosea nn Nyie chadema?
Binafsi sijawahi kumuona shilole akiongea mbovu khs chadema, labla mniambie leo.
Kwani hajui kusoma na kuandika?Shi shi food anataka ubunge na standard 4 yake hii nchi mbona tumeweka vituko sana
Ni wewe bumunda ndiye umeandika haya au umedukuliwa?Nimebubujikwa na machozi ya furaha kuona wahuni wasojua kusoma na kuandikwa wanawekwa pembeni bado 4m 4 failure nae awekwe pembeni
TUNDULISU
President
Wewe sio Luka mshamba tuliye naye humu. Yule anabubujukwa na machozi kindezi sana!Nimeokoka na nimejua njia ya haki na nimetubu
Itakua jina limekatwa 🤣🤣🤣🤣Wewe sio Luka mshamba tuliye naye humu. Yule anabubujukwa na machozi kindezi sana!
Sie Mwashambwa
Angekuja kulialia hapa wasio na elimu wanapata ubunge 😂Hahahaha,angepata pia angekuja kuponda kupata kwake
Kwahy waliopata sio chawa, ila c bado ni Ccm walewale, sasa hapo utofauti ni upi?Tumefurah sana make uchawa ni rahana
CCM ni dude kuuuuuubwa sana. Usipoliongelea, utaongelea nini hasa kipindi hiki cha Uchaguzi Mkuu?Lengo letu si kushabikia mambo ya ccm, maana hayatuhusu, lakini tunalazimika kuandika haya ili kuonyesha Ukuu wa Mungu.
View attachment 3425224
Kwani huko Chadomo Kila anaegombea Huwa anapita au?Lengo letu si kushabikia mambo ya ccm, maana hayatuhusu, lakini tunalazimika kuandika haya ili kuonyesha Ukuu wa Mungu.
View attachment 3425224
Mimi nadhani akili wanazo ,kilichopo ni kwamba wanazima data kwa muda ili kwenda na upepo, haya mambo kule visiwani hata kama yapo lkn ni kwa uchache sanaTunafurahi, chawa hana akili
Nyie si mlizusha humu kuwa kuna maelekezo lazima apite?Lengo letu si kushabikia mambo ya ccm, maana hayatuhusu, lakini tunalazimika kuandika haya ili kuonyesha Ukuu wa Mungu.
View attachment 3425224
Huyu sie yule chawa wa kububujikwa na machozi muda wote kama kichaa, majina yanakaribiana kufanana tuu!Tulijua utaokoka tu