Shetani hakumdanganya Eva/Hawa

Mi nadhani shetani aliwaingiza kingi ili wadedi, maana alishasema siku mtakapokula hilo tunda hakika mtakufa; and is what happened after eating
 
Kwahyo unataka kusema kuwa kama wangekuwa wajanja wangekula kwanza mti wa uzima halafu ndo wakala wa ujuzi?
Sasaivi binadamu wote tungekuwa miungu hatufi?
 
Kwahyo unataka kusema kuwa kama wangekuwa wajanja wangekula kwanza mti wa uzima halafu ndo wakala wa ujuzi?
Sasaivi binadamu wote tungekuwa miungu hatufi?

Au wangekula Ile mti WA ujuzi wa Mema na mabaya waliokatazwa kisha Wakala matunda ya mti uzima.
Wasingekufa.
Ndivyo maandiko yasemavyo
 
Kama walidanganywa kuwa hawatakufa, wapo wapi mpaka sasa? Hujui biblia hebu nyamaza.
 

Una hoja nzuri. Lakini hapo uliposema kuwa sio kila neno la shetani lina nia mbaya kwa Mwanadamu ndo ulipoboronga.

Lengo la shetani lilikua kuharibu uhusiano wa Mwanadamu na Mungu kama ambavyo alivuruga uhusiano wake na Mungu alipokua mbinguni. Shetani hutumia maagizo ya Mungu kutuvuruga hapohapo. Kumbuka alipomjaribu Yesu Jangwani, alitumia maandiko matakatifu.

Ni kweli hakudanganya, bali alitumia maagizo yaleyale kuwashawishi watoke katika utii. Ndo maana alitumia maneno yaleyale aliyosema Mungu “Ati hivi ndivyo alivyosema Mungu…” Mwanzo 3:1

Lengo la miti ile ilikua ni kipimo cha Utii. Na shetani alifanikiwa kuwatoa katika utii.
 
Ndio maana nasema ni hadithi za sungura!! Mungu mweza ya yote na mwema, hakujua yote hayo? Huenda Mungu na shetani ni kitu kimoja.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…