Sheria ya sasa ya mifuko ya kijamii ikoje?

Sheria ya sasa ya mifuko ya kijamii ikoje?

BWANA MISOSI

Member
Joined
Feb 11, 2020
Posts
39
Reaction score
25
Eti wana JF, naomba kuuliza sheria inasemaje endapo mtu ameacha kazi halafu anahitaji pesa yake? mimi nilikuwa sekta binafsi pesa yangu ilikuwa NSSF lakini nimeingia serikali pesa yangu inakwenda PSSSF.

Sasa nilikwenda kudai hela zangu wakasema hawawezi kunipa kwa kuwa nimeacha mwenyewe, nikaomba wazihamishie PSSSF kutoka NSSF wakasema haiwezekani, sasa pesa yangu naipataje? mpaka nitapostaaf au? sheria inasemaje? naombeni majibu.
 
Unaweza kwenda kwa Waziri husika amabye ni Mhagama ili akupe ufafanuzi maana hawa wafanyakazi ktk Mifuko ya Jamii wanawezakufanya hata ufe ghafla wengi hawajui kinachoendelea. Baada ya Rais kutoa maelekezo ya kufuta kikokotoo ilitakiwa yafanywe marekebisho ya kanuni za mifuko ya hiffadhi ya Jamii hasa kuhusu fao la kujitoa/ kukosa ajira
 
Unaweza kwenda kwa Waziri husika amabye ni Mhagama ili akupe ufafanuzi maana hawa wafanyakazi ktk Mifuko ya Jamii wanawezakufanya hata ufe ghafla wengi hawajui kinachoendelea. Baada ya Rais kutoa maelekezo ya kufuta kikokotoo ilitakiwa yafanywe marekebisho ya kanuni za mifuko ya hiffadhi ya Jamii hasa kuhusu fao la kujitoa/ kukosa ajira
sasa huyo waziri nampataje?
 
Unaweza kwenda kwa Waziri husika amabye ni Mhagama ili akupe ufafanuzi maana hawa wafanyakazi ktk Mifuko ya Jamii wanawezakufanya hata ufe ghafla wengi hawajui kinachoendelea. Baada ya Rais kutoa maelekezo ya kufuta kikokotoo ilitakiwa yafanywe marekebisho ya kanuni za mifuko ya hiffadhi ya Jamii hasa kuhusu fao la kujitoa/ kukosa ajira
Mbona umeongea kama wafanyakazi wa hiyo mifuko(yaani wewe pia hueleweki).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom