Sheria ya ndoa irekebishwe haraka kunusuru ndoa

Sheria ya ndoa irekebishwe haraka kunusuru ndoa

Inaonekana wewe ni
Mi naona iwe hivi;

Iwapo sababu kubwa ya kutalakiana itakuwa ni uzinzi, aliyefanya kosa hilo (aidha mwanamke au mwanaume) hatakuwa na haki yeyote juu ya mali iliyochumwa au kuandikishwa kwa jina la wana ndoa.
Kama ilivyo kwenye kifungu kidogo kilichopita, mwanandoa aliyetenda kosa hilo ataruhisiwa kuchukua mali iliyoandikwa kwa jina lake tu, tena kwa kuongozwa na busara za mtalaka wake.
Nadhani hii ndio itakuwa dawa ya wanandoa wazinzi ambao wanajua hata mkiachana, ana mgao wake.
mwanasheria nimependa pendekezo lako
 
Tumieni sheria ya ndoa ya kiislam hutajutia.
 
Ndoa ni heshima flani lakini ukiingia kichwa kichwa ni majuto hasa hizi za mke mmoja,
yaani kunakipindi unaishi kama upo kwenye tope ukijitingisha ndio unazidi kuzama na anayetakiwa kukupa kamba anakuangalia tu uropoke akuzamishe kabisa!
 
Ndoa nyingi zinafungwa kwa sheria za dini na dini zimefafanua kila kitu na hakuna tatizo ktk sheria ndoa za bonani ndio zenye sheria zisizo kizi
 
Japo mimi ni Mkristu, lakini nigeshauri Serikali i-adapt sheria ya Ki-Islam kwenye mambo yote ya ndoa na Marathi. Sheria ya Kiislam ipo njema sana.
 
Ila sisi wanaume wa kibongo mara zote tunatoka kapa, hii sheria inambeba sana mwanamke. Pata picha Gardner angekuwa demu halafu Jide angekuwa mume hapo zingepigwa kelele mpaka kikaeleweka
 
Mali cyo inshu ikitokea mmekosana hata iwe uzinzi au cyo uzinzi kugawana mali ipo kisheria cuz mali walizichuma wakiwa ndani ya ndoa so kugawana haina kipingamizi
 
Mi naona iwe hivi;

Iwapo sababu kubwa ya kutalakiana itakuwa ni uzinzi, aliyefanya kosa hilo (aidha mwanamke au mwanaume) hatakuwa na haki yeyote juu ya mali iliyochumwa au kuandikishwa kwa jina la wana ndoa.
Kama ilivyo kwenye kifungu kidogo kilichopita, mwanandoa aliyetenda kosa hilo ataruhisiwa kuchukua mali iliyoandikwa kwa jina lake tu, tena kwa kuongozwa na busara za mtalaka wake.
Nadhani hii ndio itakuwa dawa ya wanandoa wazinzi ambao wanajua hata mkiachana, ana mgao wake.
Imekaa vizuri...
 
Back
Top Bottom