Sheria ya ndoa iboreshwe kupunguza ndoa za utotoni

Peter Mwaihola

JF-Expert Member
Jun 23, 2022
227
333
Kwa muda mrefu Tanzania imekuwa kwenye mjadala wa namna ya kudhibiti ndoa za utotoni ambazo bado zinashamiri katika baadhi ya maeneo hususani vijijini.

Kwa mujibu wa sheria ya ndoa ya 1971 ya Tanzania inatoa uhuru kwa msichana mwenye umri wa miaka 14 na mvulana mwenye miaka 18 kuolewa na kuoa mtawalia.

Wakati huohuo kwa mujibu wa katiba nchini Tanzania umri sahihi wa utu uzima ni miaka 18 na kuendelea.

Kwa mantiki hii sheria inayoruhusu msichana wa umri wa miaka 14 kuolewa inaonekana kuwa ni sheria isiyofaa inayokwamisha maendeleo ya wasichana kwa kuoelewa katika umri mdogo wa miaka 14.

Ingawaje serikali imefanya maboresho kadhaa ya Sheria ya ndoa ya 1971 lakini bado Sheria hiyo haikufanyiwa maboresho kwenye umri wa msichana kuolewa jambo ambalo linakoleza mjadala wa wadau wa sheria, watetezi wa kijinsia na wanaharakati wa haki za binadamu.

Hata hivyo 2019 aliyekuwa waziri wa katiba na Sheria Profesa Palamagamba Kabudi aliwahi kutamka wazi kuwa sheria ya ndoa ya 1971 ni ya kimapinduzi licha ya kuwa na udhaifu huo mdogo haimaanishi kuwa sheria hiyo sio bora.

Sio hivyo tu baadhi ya wanaharakati wamewahi kupeleka shauri mahakamani kupinga umri wa msichana kuolewa Kuomba mahakama ibatilishe umri huo na mahakama ikaiagiza serikali kufanya hivyo lakini hakuna mabadiliko yoyote yaliyofanyika mpala leo.

Vifungu namba 13 na 17 vya Sheria ya ndoa ya 1971 vinakinzana na sheria ya ulinzi wa mtoto ya 2002 na sheria mbalimbali za kitaifa na kimataifa ikiwemo sheria ya msichana kupata elimu.

Ni wakati sasa serikali kutafuta Suluhu ya changamoto ya Sheria hii ikiwemo kupeleka muswada wa mabadiliko ya sheria hii Bungeni ili kubadili kifungu cha umri sahihi wa msichana kuolewa kutoka umri wa miaka 14 hadi 18 ili kuendana na katiba.

Kufanya hivyo kutasaidia kupunguza tatizo la ndoa za utotoni, kumuinua msichana kielimu kwakua itawapa muda Wasichana kusoma badala ya kuozeshwa katika umri mdogo.

Peter Mwaihola
IMG_16871508964592232.jpg
 
Mkipitisha hiyo sheria ya umri wa miaka 18 msisahau kupitisha uhalali wa kufanya abortion. Maana wanaanza kubanjuliwa tangu wakiwa 13-14, hadi akifika hiyo 18 atakua kashazichomoa za kutosha
 
Kwa muda mrefu Tanzania imekuwa kwenye mjadala wa namna ya kudhibiti ndoa za utotoni ambazo bado zinashamiri katika baadhi ya maeneo hususani vijijini.

Kwa mujibu wa sheria ya ndoa ya 1971 ya Tanzania inatoa uhuru kwa msichana mwenye umri wa miaka 14 na mvulana mwenye miaka 18 kuolewa na kuoa mtawalia.

Wakati huohuo kwa mujibu wa katiba nchini Tanzania umri sahihi wa utu uzima ni miaka 18 na kuendelea.

Kwa mantiki hii sheria inayoruhusu msichana wa umri wa miaka 14 kuolewa inaonekana kuwa ni sheria isiyofaa inayokwamisha maendeleo ya wasichana kwa kuoelewa katika umri mdogo wa miaka 14.

Ingawaje serikali imefanya maboresho kadhaa ya Sheria ya ndoa ya 1971 lakini bado Sheria hiyo haikufanyiwa maboresho kwenye umri wa msichana kuolewa jambo ambalo linakoleza mjadala wa wadau wa sheria, watetezi wa kijinsia na wanaharakati wa haki za binadamu.

Hata hivyo 2019 aliyekuwa waziri wa katiba na Sheria Profesa Palamagamba Kabudi aliwahi kutamka wazi kuwa sheria ya ndoa ya 1971 ni ya kimapinduzi licha ya kuwa na udhaifu huo mdogo haimaanishi kuwa sheria hiyo sio bora.

Sio hivyo tu baadhi ya wanaharakati wamewahi kupeleka shauri mahakamani kupinga umri wa msichana kuolewa Kuomba mahakama ibatilishe umri huo na mahakama ikaiagiza serikali kufanya hivyo lakini hakuna mabadiliko yoyote yaliyofanyika mpala leo.

Vifungu namba 13 na 17 vya Sheria ya ndoa ya 1971 vinakinzana na sheria ya ulinzi wa mtoto ya 2002 na sheria mbalimbali za kitaifa na kimataifa ikiwemo sheria ya msichana kupata elimu.

Ni wakati sasa serikali kutafuta Suluhu ya changamoto ya Sheria hii ikiwemo kupeleka muswada wa mabadiliko ya sheria hii Bungeni ili kubadili kifungu cha umri sahihi wa msichana kuolewa kutoka umri wa miaka 14 hadi 18 ili kuendana na katiba.

Kufanya hivyo kutasaidia kupunguza tatizo la ndoa za utotoni, kumuinua msichana kielimu kwakua itawapa muda Wasichana kusoma badala ya kuozeshwa katika umri mdogo.

Peter MwaiholaView attachment 2661976
Nilikuwa safarini nikakutana na binti anauza samaki wa kukaanga.

Nikaanza kumdadisi. Nikaona uwezo wake na nguvu aliyonayo kama angeelezwa ktk kupata maarifa zaidi.

Nikamuomba namba, tukaagana hulu nikimuahidi kumletea zawadi nitaporudi mara ingine.

Siku ya tatu akanitumia msg kukumbushia zawadi yake.
Ktk Kuchat alinambia yeye ana miaka 17. Na mimi nina 49. Nikamchombeza nikuoe. Akanojibu yeye tayari ana mwanamme wake. Lkn akasisitiza nirudi tena na zawadi.

Somo.

Kuhamasisha binti asiolewe kunatengeza kizazi Chenye utamaduni wa Umalaya.

Kuhamasisha mabinti wasiolewe wakati wengi wao wako ktk mahusiano tunatengeza kizazi cha wake waliokwisha mgonjwa zaidi ya mara 100 kabla ya ndoa. Hii hupelekea ndoa kutokuwa na mapenziuaminifu,
Mara zote wasichana hao huwakumbuka wanaumezake wenye uwexo zaidi kuliko mumewe.

Ktk zama tulizonazo napendekeza kuhamasisha mabinti wanaohitaji kuolewa; waolewe na huku wakiendelea kusoma.

Kwani elimu haina mwisho.

Mimi niko naendelea na mipango yangu ya kuoa binti wa miaka 17. Nimepanga kumuinua kwa kwanza nitampa zawadi ya kiwanja na pili kumpeleka mafunzo Sido.
 
Mimi nikiwa na miaka 20 nilioa wa 15yrs.tulidumu miaka 11 na watoto 2.sasa hivi kaolewa tena.utotoni tukajikuta kila mtu hataki shule zaidi ya ndoa.wazee wakaona isiwe tabu.wasije kutoroshana hawa
 
Nyie wanaharakati mnakosa cha kufanyia harakati? Kila mara ndoa za utotoni! Wapi mliona watoto wanaolewa? Hao mnaowaona ni watoto kwa mtazamo wenu, kimakuzi na kimaumbile si watoto ni watu wazima wanastahili kuolewa kwa mujibu wa bayolojia na asili ya ukuaji mwili. Mtoto hawezi kupata mimba, sasa ni mwanaume gani anaoa mwanamke ambaye hana matiti na habebi mimba?
 
Kwa muda mrefu Tanzania imekuwa kwenye mjadala wa namna ya kudhibiti ndoa za utotoni ambazo bado zinashamiri katika baadhi ya maeneo hususani vijijini.

Kwa mujibu wa sheria ya ndoa ya 1971 ya Tanzania inatoa uhuru kwa msichana mwenye umri wa miaka 14 na mvulana mwenye miaka 18 kuolewa na kuoa mtawalia.

Wakati huohuo kwa mujibu wa katiba nchini Tanzania umri sahihi wa utu uzima ni miaka 18 na kuendelea.

Kwa mantiki hii sheria inayoruhusu msichana wa umri wa miaka 14 kuolewa inaonekana kuwa ni sheria isiyofaa inayokwamisha maendeleo ya wasichana kwa kuoelewa katika umri mdogo wa miaka 14.

Ingawaje serikali imefanya maboresho kadhaa ya Sheria ya ndoa ya 1971 lakini bado Sheria hiyo haikufanyiwa maboresho kwenye umri wa msichana kuolewa jambo ambalo linakoleza mjadala wa wadau wa sheria, watetezi wa kijinsia na wanaharakati wa haki za binadamu.

Hata hivyo 2019 aliyekuwa waziri wa katiba na Sheria Profesa Palamagamba Kabudi aliwahi kutamka wazi kuwa sheria ya ndoa ya 1971 ni ya kimapinduzi licha ya kuwa na udhaifu huo mdogo haimaanishi kuwa sheria hiyo sio bora.

Sio hivyo tu baadhi ya wanaharakati wamewahi kupeleka shauri mahakamani kupinga umri wa msichana kuolewa Kuomba mahakama ibatilishe umri huo na mahakama ikaiagiza serikali kufanya hivyo lakini hakuna mabadiliko yoyote yaliyofanyika mpala leo.

Vifungu namba 13 na 17 vya Sheria ya ndoa ya 1971 vinakinzana na sheria ya ulinzi wa mtoto ya 2002 na sheria mbalimbali za kitaifa na kimataifa ikiwemo sheria ya msichana kupata elimu.

Ni wakati sasa serikali kutafuta Suluhu ya changamoto ya Sheria hii ikiwemo kupeleka muswada wa mabadiliko ya sheria hii Bungeni ili kubadili kifungu cha umri sahihi wa msichana kuolewa kutoka umri wa miaka 14 hadi 18 ili kuendana na katiba.

Kufanya hivyo kutasaidia kupunguza tatizo la ndoa za utotoni, kumuinua msichana kielimu kwakua itawapa muda Wasichana kusoma badala ya kuozeshwa katika umri mdogo.

Peter MwaiholaView attachment 2661976
sheria inatoa ruksa kwa msichana ambaye hana anachofanya zaidi ya kusubiria kuolewa, hivyo anaweza kuolewa ili kuepusha purukushani zingine mtaani
kama anasoma ni kosa kuolewa
 
Kwa mantiki hii sheria inayoruhusu msichana wa umri wa miaka 14 kuolewa inaonekana kuwa ni sheria isiyofaa inayokwamisha maendeleo ya wasichana kwa kuoelewa katika umri mdogo wa miaka 14.
Nashangaa sana Tanzania,
Wanaharakati eti wanapinga Mtoto wa miaka 14 kuolewaambaye atakuwa mama wa nyumbani, na mke wa mtu anayepewa stahiki kama mke nyumbani. Huyu ni mwanmke kamili mjenzi wa familia kama walivyokuwa mamazetu enzi hizo za nyuma wamezaa watoto 10 au,12 au,15, na wakiwa bado na afya zao na wakiishi umri mrefu tena wamezalia majumbani kwa wakunga wa kienyeji.
Eti wanapinga NDOA na wananyamazia watoto wanaotiwa Mimba mitaani kiholela?

Wanaharakati ilikuwa wawasemee watoto wanaozaa chin ya miaka 18 mimba bila ya ndoa, tena nyingi kuliko zile za ndoa za utotoni.
Watoto wanaozaliwa wasiokuwa na familia rasmi ''SINGLE PARENTS'' wakiongezeka nchini.

Hili ilikuwa ndio la kufanyiwa kampeni na kutungiwa sheria badala ya lile la Ndoa.
 
Back
Top Bottom