Kutoa ni kutoa na kupokea ni kupokea , ukitoa umetoa hakuna cha ukitoa utapokea , hayo ni maneno ya kujifariji tu.
We jamaa huwa unajifanya mjuaji sana,Huwa unajifanya intelligent sana yan.
Waliokwambia elimu ni bahari hawajakosea,Hii Dunia umeikuta Kaka na Hata ulipokuja hukuja kwa plan yako,yupo aliyeplan uje na wewe ukashtukia tu Upo Duniani.
Sasa huyo aliyekuleta Duniani Kuna elimu ameziweka na hzo elimu hazipo hta huko mashuleni,pia ameweka mifumo ya maisha watu waifuate,na usipoifuata utakufa na huo ujinga wako.
Ni Hivi,kutoa kwenda kwa wahitaji ni jambo ambalo hta hao wazungu unaowaabudu wanaijua siri yake,ni sheria ya kimaumbile inayoapply kwa mtu yeyote anayeifanya,haijalishi unamcha Mungu Au laa,Mungu ameiweka sheria hii ya kutoa Kama Zawadi kwa viumbe wake...ni kama ilivyo ile sheria ya UKILA LAZIMA UENDE CHOONI...NA KILA ANAYETOA KWA WAHITAJI MATOKEO CHANYA LAZIMA AYAONE.
Hao wazungu unaowaabudu wanaielewa vzr sana hii sheria ya kutoa na wanaifanyia kazi vizuri sana....unaijua BILLGATES FOUNDATION?....COCACOLA FOUNDATION? Lakini pia si Unaifahamu VODACOM FOUNDATION? Na nyingne nyingi....
Unafahamu kazi za hzo foundations?
Yan watu na Akili zao wameigundua hii siri ya kutoa Afu wewe unakuja na uharo wako kwamba wewe una Akili sana eti ....Akili zenyewe uzitoe wapi kma hta aliyekuumba unamkana,wewe si ni Kama maiti tu Hivi inayotembea?
Acha upuuzi wa kijinga jinga,ukiona watu wanapewa elimu flan usijifanye kimbelembele kudecline idea kana kwamb wewe Unajua sana wakati wewe ni kiumbe wa kawaida sana uliyetokana na shahawa na pengine huna Hata miaka 40 Tangu uje Hapa Duniani...hii Dunia Ina mabilioni ya miaka na hii sheriA ipo Tangu huko wajanja wanaitumia..achaga ujinga.
KILA UNAPOTOA KWA WAHITAJI MUNGU MTOAJI NDO ANAKUJAZIA ZAIDI ULIPOTOA..hii ndo sheria Haijalishi Unataka Au hutaki,hii sheria ipo tu na inafanya kazi kwa yeyote anayeiapply.