Kilasi Mkuu
JF-Expert Member
- Nov 25, 2013
- 2,325
- 719
Jinsi tulivyoshuhudia upatikanaji wa spika wa bunge hapa Tanzania haipendezi kwani kila siku atatoka kwa wabunge waliowengi Bungeni, hali ambayo inanyima haki kwa wachache.
Tumeshuhudia Bunge la Anna Makindi lilivyokuwa la hovyo kwa kuangalia wengi wanasema nini, na ndicho kilicho igharimu CCM katika uchaguzi huu, hadi wakaanza kutumia mbinu za wizi wa kura bila hivyo wangeshindwa kabisa, kwani wananchi walikuwa na hasira sana na wabunge wa CCM kwa kuitetea serikali hata pale inapo haribu, mawaziri mizigo wanaachwa tu.
Sasa nawashauri safari hii wasipobadilika yatawakuta makubwa zaidi mwaka 2020.
Ushauri:- Kama Spika Atapatikana kwa wabunge waliowengi basi Naibu apatikane kwa wabunge walio wachache ili kubalansi huduma.
kama Magufuli anapenda haki sawa ili asiteseke mwaka 2020 basi anaweza kushauri ili sheria hiyo ibadilishwe.
Tumeshuhudia Bunge la Anna Makindi lilivyokuwa la hovyo kwa kuangalia wengi wanasema nini, na ndicho kilicho igharimu CCM katika uchaguzi huu, hadi wakaanza kutumia mbinu za wizi wa kura bila hivyo wangeshindwa kabisa, kwani wananchi walikuwa na hasira sana na wabunge wa CCM kwa kuitetea serikali hata pale inapo haribu, mawaziri mizigo wanaachwa tu.
Sasa nawashauri safari hii wasipobadilika yatawakuta makubwa zaidi mwaka 2020.
Ushauri:- Kama Spika Atapatikana kwa wabunge waliowengi basi Naibu apatikane kwa wabunge walio wachache ili kubalansi huduma.
kama Magufuli anapenda haki sawa ili asiteseke mwaka 2020 basi anaweza kushauri ili sheria hiyo ibadilishwe.