Nyalotsi
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 6,978
- 5,025
Kuna eneo ambalo mwanzo tulikuwa tunalima kama shamba,hivi karibuni imeingizwa kwenye mpango wa viwanja vya mji.nilimfuata afisa ardhi anipimie viwanja eneo hilo akanijibu c lazima anipimie hapo,anataka kwenda kuniuzia eneo sehemu nyingine.naombeni msaada,sheria inasemaje?