loupa
Senior Member
- Jul 22, 2016
- 121
- 72
Ndugu wana Jf Mimi ni kijana wa miaka 26 nilioa binti mmoja miaka 3 iliyopita tukabahatika kupata mtoto mmoja.
Maisha yetu yakaleta mgogoro mkubwa mwaka mzima sasa.
Nikaamua kumuacha, nilipokuwa namkabidhi Yule mwanamke wazazi wake walinitaka kutoa matunzo ya mtoto Kwa tsh 200,000 kila mwezi.
Sasa nikajiuliza kama sina inakuaje? Na kama akipata shida ya kuzidi gharama ya hiyo pesa itakuwaje? Japo Kama suala la matibabu bima nishamkatia!
Suala jingine
Kama hujafunga ndoa na huna cheti cha NDOA name mwanamke mnagawana mali mlizonazo au Sheria ikoje kuhusu hili
Naomba Masada hapo.
Maisha yetu yakaleta mgogoro mkubwa mwaka mzima sasa.
Nikaamua kumuacha, nilipokuwa namkabidhi Yule mwanamke wazazi wake walinitaka kutoa matunzo ya mtoto Kwa tsh 200,000 kila mwezi.
Sasa nikajiuliza kama sina inakuaje? Na kama akipata shida ya kuzidi gharama ya hiyo pesa itakuwaje? Japo Kama suala la matibabu bima nishamkatia!
Suala jingine
Kama hujafunga ndoa na huna cheti cha NDOA name mwanamke mnagawana mali mlizonazo au Sheria ikoje kuhusu hili
Naomba Masada hapo.