Ni matumaini yangu kuwa nimelileta hili swala huku nikiamini ntapata ufafanuzi wa kisheria kuhusu utata uliojiri Arusha na kupelekea kutokea fujo zilizosababisha vifo.
Kwanza, naomba kueleweshwa juu ya uhalali wa diwani Chitanda, je sheria na taratibu zinasemaje kuhusu madiwani wa viti maalum?, mbona akina owenyo walipigia hai?
Pili, je sheria zinasemaje iwapo wajumbe wengine watasusia uchaguzi wa halmashauri, hapa namaanisha ni idadi gani inaruhusiwa kuendelea na uchaguzi hata kama wengine hawapo?.
Tatu, je nihalali polisi kuzuia mkutano au maandamano kisheria iwapo kutokana na vigezo vyao wataona kunahitaji la kufanya hivyo?
Nne, je ni halali kiongozi wa kisiasa kuamrisha wafuasi wake kwenda kituoni kuwachukua waliokamatwa?.
Ninaomba tafadhali tulijadili kisheria zaidi na si kisiasa kama linavyo jadiliwa ktk majukwaa ya siasa. naamini hii iatatusaidia wengi kujua sababu ya mkasa mzima uliojiri.
Nawasilisha
Kwanza, naomba kueleweshwa juu ya uhalali wa diwani Chitanda, je sheria na taratibu zinasemaje kuhusu madiwani wa viti maalum?, mbona akina owenyo walipigia hai?
Pili, je sheria zinasemaje iwapo wajumbe wengine watasusia uchaguzi wa halmashauri, hapa namaanisha ni idadi gani inaruhusiwa kuendelea na uchaguzi hata kama wengine hawapo?.
Tatu, je nihalali polisi kuzuia mkutano au maandamano kisheria iwapo kutokana na vigezo vyao wataona kunahitaji la kufanya hivyo?
Nne, je ni halali kiongozi wa kisiasa kuamrisha wafuasi wake kwenda kituoni kuwachukua waliokamatwa?.
Ninaomba tafadhali tulijadili kisheria zaidi na si kisiasa kama linavyo jadiliwa ktk majukwaa ya siasa. naamini hii iatatusaidia wengi kujua sababu ya mkasa mzima uliojiri.
Nawasilisha