Naomba nieleweshwe kuhusu suala la mtu kuchafuliwa sifa yake mbele ya jamii!Akiwa kama mlalamikaji anaweza kwenda mahakamani na kufungua kesi ya madai ya fidia halafu akataja hadi na kiwango mfano ninataka anilipe fidia shilingi bilioni moja na shilingi moja!MSAADA WADAU