Hawa watawala wa bongo kila siku wanasema watatayalisha sehemu ya makaburi ya viongozi lakini mpaka leo hii hawajafanya hivyo kwa kuwa wanaogopa vizazi vijavyo vinaweza kuja kuyafukua hayo makaburi na kuadhibu mafuu yao kwa udhalimu wanaofanya kuhujumu maliasili ya nchi bila kujali kuwa kuna vizazi vijavyo!! Kila mmoja wao akifa anataka akazikwe kwao "MSOGA" ambako wanajua ndugu zao watayalinda hayo makaburi!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.