Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 21,854
- 26,095
HONGERA CCM KWA KUKOKOTA WATANZANIA WASIOJIELEWA,KUNAHAJA YA KUANZISHA KAMPENI MAALUMU YA KUWAZINDUA WOOTE WALiO WALALAFI!
Kila mwananch ana hak ya kuchagua kiongoz ampendae, mwenye sera zinazomridhisha! Sasa haya mambo ya wakosaji kuanza kuwatukana wana kalenga kuwa hawana akil Yanatoka wap!!
Hongeren CCM
Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
Hongereni Magamba. Ujinga wa wana-kalenga umekuwa mtaji wenu wa ushindi.
Watu walio wengi wa jimbo la kalenga hawajitambui kabisa yaani ni negative digit kichwani mwao
Hongereni Magamba. Ujinga wa wana-kalenga umekuwa mtaji wenu wa ushindi.
Watu walio wengi wa jimbo la kalenga hawajitambui kabisa yaani ni negative digit kichwani mwao