Sherehe za Miaka 50 ya Muungano

Sherehe za Miaka 50 ya Muungano

elly1978

Senior Member
Joined
Apr 28, 2009
Posts
180
Reaction score
39
Napenda kutoa wazo kwamba, kwakuwa tumeishi kwa udugu, umoja na amani, kwa miaka hii 50 na kwakuwa tumekuwa na muungano wa kipekee duniani, wenye mafanikio makubwa sana na kwakuwa sherehe hizi muhimu zimeangukia Jumamosi, na kwakuwa watanzania kuanzia Pemba mpaka Mtwara, Moshi, Bukoba na sehemu za nyanda za juu watakuwa wamechoka, basi Raisi kwa mamlaka aliyopewa atangaze Jumatatu tarehe 28 kuwa ni siku ya mapumziko ya kitaifa.
 
Huenda atatangaza hiyo kesho. Kwani sherehe za kitaifa zinafanyika wapi?
 
anatangaza hivyo kwa woga wa ukawa na selikar 3,vitu vingi vimefanyika kipindi hiki ccm wakijifanya kuenzi mungano,wameshachelewa,wamepewa miaka 50 ya majalibio na wameshindwa hakuna cha kuzuia selikar 3
 
Back
Top Bottom