S. S. Phares
JF-Expert Member
- Nov 27, 2006
- 2,138
- 82
Hivi hawa huko UK wanafanya kazi gani??
-Labda hawa
Wako mchanganyiko sana ila kwa mfano tu, kuna Telecom Engineers, Doctors, Nurses, Sales, Teachers, Higher Education Students, Security Personnel, Health Care Assistants, Entrepreneurs, Lawyers, Midwives etc, etc ni kama walivyo WanaCCM wengine Tanzania na sehemu nyingine duniani.
Wako mchanganyiko sana ila kwa mfano tu, kuna Telecom Engineers, Doctors, Nurses, Sales, Teachers, Higher Education Students, Security Personnel, Health Care Assistants, Entrepreneurs, Lawyers, Midwives etc, etc ni kama walivyo WanaCCM wengine Tanzania na sehemu nyingine duniani.
Umesahau kuna wale waliojilipua pia!
Matukio yalivyojiri katika picha...
Mhe Pius Msekwa akihutubia wageni na wanachama wa CCM Tawi la Uingereza.
Wageni waalikwa na wanachama wa CCM wakimkiliza kwa makini mgeni rasmi, Mhe Pius Msekwa.
Mgeni rasmi Mhe Pius Msekwa akitoa mkono wa pongezi na karibu kwenye Chama Cha Mapinduzi kwa baadhi ya Viongozi/ Wanachama wapya.
Mhe Pius Msekwa akikabithi vitendea kazi kwa viongozi wapya wa Mashina mapya ya CCM ya London East na South.
Mhe Msekwa akiwa kwenye picha ya pamoja na wanachama wapya wa CCM Tawi la Uingereza.
Nini kusudi la hii post yako?
Umesahau kuna wale waliojilipua pia!
Picha na Matukio ya Siasa za nchi yetu Ughaibuni.
Tukishaona picha halafu...
-Labda hawa
Ni ngumu kuamini kwamba watu na akili zao wanaweza wakaa nje ya nchi na kushabikia sisiemu, wanacheka na kufurahia maisha, ni aibu! Au wanatafuta ubunge wa kuteuliwa baada ya uchaguzi?? Yaani kinachowavutia kuipenda sisiemu kiasi hicho nini hasa?
Tunajua Mh.Msekwa anadaiwa pesa za matibabu ya kijana wake huko Ufaransa na Wizara ya Mambo ya Nje.Surely pesa za masurufu alizopewa na SISIEM zinaweza kulipa deni la zaidi ya miaka 5 na zaidi iliyopita!
Nini kusudi la posti yako?
Matukio yalivyojiri katika picha...
Mhe Pius Msekwa akihutubia wageni na wanachama wa CCM Tawi la Uingereza.
Wageni waalikwa na wanachama wa CCM wakimkiliza kwa makini mgeni rasmi, Mhe Pius Msekwa.
Mgeni rasmi Mhe Pius Msekwa akitoa mkono wa pongezi na karibu kwenye Chama Cha Mapinduzi kwa baadhi ya Viongozi/ Wanachama wapya.
Mhe Pius Msekwa akikabithi vitendea kazi kwa viongozi wapya wa Mashina mapya ya CCM ya London East na South.
Mhe Msekwa akiwa kwenye picha ya pamoja na wanachama wapya wa CCM Tawi la Uingereza.
Wapiga box, Cleaners,.....
Wako mchanganyiko sana ila kwa mfano tu, kuna Telecom Engineers, Doctors, Nurses, Sales, Teachers, Higher Education Students, Security Personnel, Health Care Assistants, Entrepreneurs, Lawyers, Midwives etc, etc ni kama walivyo WanaCCM wengine Tanzania na sehemu nyingine duniani.
Yule anayetaka kugombea Kyela au?Nahisi kuna member mmoja maarufu sana wa JF kwenye hizo picha, mi simo