Sherehe yetu

mfilisti

JF-Expert Member
Sep 24, 2015
3,641
19,271
C5mLQVMWMAAM1pY.jpg
C5mLQVSWQAAPA5V.jpg
 
Hao jamaa nahisi kuna aliyetapika coz umetoka kula pipi kifua mara unaletewa sambusa

Kuna mchanganyiko wa vyakula vinaweza kukufanya tahira coz si lishe kamili
 
Ahahaha Daah inabid white house pafunguliwe hotel wakiitwa huko wajinunulie kuliko wengine unawaona kabisa hawahitaji kula ila kwa sababu bakuli kashika mkulu lazma upeleke mkono..
 
Nani kakwambia state ni pa kula kula kama nguruwe!!!!

Ukitaka supu andika jina, lije kwangu kwanza.
 
Back
Top Bottom