Shemeji

mtoto mpole

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2010
Posts
678
Reaction score
148
Kwa mfano upo na mume/mke wako wa ndoa pamoja na kaka yake mmeenda kupata moja mbili sasa katika story kaka yake anàanza kumuhadithia mdogo wake ambae ni mume wako/mke wako story kuhusu mchepuko wake yaani anamtaja na jina kabisa kwamba labda amedhulumiwa million 3 sijui tutamsaidiaje huku akijua wewe haujui unamuona mumeo/mkeo anakazana kumkanyaga mguu asiendelee kuongea sasa shemeji haelewi mara mkeo/mumeo akamtumia message shemeji ndo kuanza kujibaraguza eti cathy/juma ni rafiki yangu sana akaanza kuweka uongo mwingiii wakati kashasema mipango yao yote na wewe ulishamuuliza sana mkeo/mmeo kuhusu huyu cathy /juma akakataa na una evidence lakini sio strong like kukuta message kwa simu na n.k.

Je ungekua wewe ungefanyaje?
 
Najihisi ka mmoja wa wabunge wa chama fulani hivi walioongea bungeni jana, inakuwaje nashindwa kuelewa unasema nini??
 
ningekua mimi ningekutafuta siku ambayo upo fit manake hapo naona masanga imekolea hata sikuelewi....
 

Dalili za awali za uendawazimu ni pale watu wanaposhindwa kuelewa unachosema au kuandika.

Tafadhali wahi Hospital ndugu.
 
mim nimeeleww hiv kasema hvi shemej yako wewe anasimulia kuhusu mchepuko wake kuhusu kudhulumiwa sasa mumeo/mkeo anajaribu kumnyamazisha shemej yako kwa sababu huo mchepuko tayar wewe ushakataa kua hatoki na huyo shemeij yako mpaka anamtumia msg ndio anajishtukia na kuacha kusimulia na kuzuga
 
We jamaaa umeandika kirumi amaa mbona hueleweki em toa hiooo post yakoooo
 

Sijaelewa kitu mwanzo mwisho
kwa aina hii ya uandishi lazima uone malupe lupe.
 
Nilivyoelewa:
-Mmeenda out na shemejio, then zikaanza stori
-Shemejio anaanza kumuhadithia mdogo wake (mkeo au mmeo) juu ya kudhulumiwa kwa mchepuke wake (mchepuko wa mkeo au mumeo)
-Wakati hadithi hiyo ikiendelea, mmeo/mkeo anahangaika kumkanyaga kaka yake (shemejio) ili asiendelee kuongea, kumbe wewe chezo zima unalishuhudia mpaka kukanyagana miguu
-Mmeo/mkeo kuona kaka yake hamuelewi, anaamua kumtumia msg kaka mtu na baada ya kupokea msg, kaka mtu anazuga kwa kusema maneno mengine juu ya huo mchepuko

Ndo anauliza, ingekuwa wewe ungefanyaje kwenye mazingira kama hayo?

Hope nimesaidia walau kidogo kueleweka kwa huu uzi.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…