Samboko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2011
- 5,421
- 7,877
Ntakuja kweli!! Oonhoo sitaniwi ujue!!Njoo unichungulie bafuni nikioga kwa kutumia tundu kwenye mlango wa bafu.
Ntakuja kweli!! Oonhoo sitaniwi ujue!!Njoo unichungulie bafuni nikioga kwa kutumia tundu kwenye mlango wa bafu.
Sasa hapa naona dume akipatiwa upofu wa bureeeeeeee kwa kumwagiwa maji moto kisa PAPUCHI ya Naisujaki LekangaiNjoo unichungulie bafuni nikioga kwa kutumia tundu kwenye mlango wa bafu.
mie akaHaya, njoo useri rombo madukani ulizia kwa mr mkenda utanikuta.Ntakuja kweli!! Oonhoo sitaniwi ujue!!
Kuna mtu anataka hivyo na nimemwagizia nilipo aje aone kitu kikifanyiwa usafi bafuni.Sasa hapa naona dume akipatiwa upofu wa bureeeeeeee kwa kumwagiwa maji moto kisa PAPUCHI ya Naisujaki Lekangai![]()
![]()
![]()
![]()
mie aka
Mimi sivaagi nguo za kubana kama huyo dada kwenye picha. Nguo zangu ni kimadela madela, ramani za ndani hazionekani.Kwa hiyo picha yangu haitoonesha kitu.Weka na yako tuone kama tutapofuka macho maana ya huyu badooo
Nije nkusaidie kukifanyia USAFI?Kuna mtu anataka hivyo na nimemwagizia nilipo aje aone kitu kikifanyiwa usafi bafuni.
lakini usinimwagie maji ya moto maana nina allergy nayo

Swali hilo atalijibu vizuri boyfriend wangu Mr Philemon Mkenda.Maungo yako yana mashavu kama yà shemeji yetu...!!!
Pole. Usafi nafanya mwenyewe.Ikitokea nahitaji msaada yupo mtu maalum niliyemchagua kufanya kazi hiyo.Nije nkusaidie kukifanyia USAFI?![]()
![]()
lakini usinimwagie maji ya moto maana nina allergy nayo
![]()
![]()
![]()
Mh! Afu tena jirani yangu?Haya, njoo useri rombo madukani ulizia kwa mr mkenda utanikuta.

Dah! Mkuu umenishtua aisee mi nkajua nikjchungulia tuu napofuka kumbe namwagiwa maji ya moto?Sasa hapa naona dume akipatiwa upofu wa bureeeeeeee kwa kumwagiwa maji moto kisa PAPUCHI ya Naisujaki Lekangai![]()
![]()
![]()
![]()
mie aka

Kwa hiyo wakati nachungulia kitu kinafanyiwa usafi napofuka au maji moto ndio yatanpofua!!? Kuna mdau kasema hapo juu ntamwagiwa maji motoKuna mtu anataka hivyo na nimemwagizia nilipo aje aone kitu kikifanyiwa usafi bafuni.
Mkenda, Philemon Mkenda ni boyfriend wangu, na by the way ana bastola.Mh! Afu tena jirani yangu?
Ila namhofia mr mkenda asijenitoa ubongo akinikuta namchungulia cjui ni mkewe, cjui ni mwanae![]()
Hebu itume tuu ivoivo in box, niiangalie kama haionyeshi maana wewe unaweza usione vitu vyako mwenyewe.Mimi sivaagi nguo za kubana kama huyo dada kwenye picha. Nguo zangu ni kimadela madela, ramani za ndani hazionekani.Kwa hiyo picha yangu haitoonesha kitu.
Yaani nikiiangalia hii picha nikiunganisha na majina, wewe utakua wa kiume tuu,
Ila hapa hujatenda haki, huu mkwara wako tuu hana bastola wala nini, itakua huna kitu ya kipofua machoMkenda, Philemon Mkenda ni boyfriend wangu, na by the way ana bastola.
HahahahahahaWote mliotazama mtapofuka macho isipokuwa mimi maana nina maungo kama hayo.