ndio maana wanasema biashara hiyo ikiingilia kati watu akili za kawaida zinahama, sasa huyo baba anatoa ruhusa kabisa mkewe akachungulie watu?! Akipigwa huko je?
ila chabo ina addiction mbaya sana.
Tukiwa sekondari, head master wetu alikamatwa kwenye mabafu ya wasichana akiwachungulia.
Ilikuwa ni aibu kubwa sana kwa familia yake, hasa watoto wake ambao nao walikuwa ni wanafunzi wa hiyo shule.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.