Shemeji yangu Hana chupi

[emoji28][emoji28][emoji28]
mkuu upo ...
 

Sasa utamnunuliaje chupi bila ya kujua size ya kiuno chake?
Kwanza jua size ya kiuno kisha mnunulie au mpe akanunue mwenyewe chupi
 
mwambie naona anatuaibisha...wakati fasta ningemwambia tukutane nikupime ili nisikosee size.....au ningemkadiria kbaada ya kufanya utafiti af namwambia usijali tuonane...hapo ni kumbandua tu sema jamaa halielewi lugha siju ini wa wapi huyu jamaa....atakuwa wa mkoa huyu sisi wa dar haturembi fasta tunapiga kazi.....HAPA KAZI TU ....TErna demyu atachoka na manjonjo ..yani ingekuwa mimi ndio mule muleeeee
 
relax hii ndio burudani ya JF sema jamaa zoba sana halijui lugha hiyo ina maan agani....
 
Ukina demu wako ana rafiki ambaye hana chupi, ujue na demu wako naye hana. Ndege wanaofanana huruka pamoja. Matusi alokutukana tu haikutisha kuwa kipimo cha kutokuwa na chupi pia??
 
Nipe namba yake
 
Muulize saizi gani halafu mnunulie au tuma picha yake humu
 
Wajinga ndio waliwao!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…