Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,708
- 8,746
Salaam wote
Niende moja Kwa moja kwenye mada kwa wiki 1 sasa nachat na shemeji yangu ambae ni rafiki wa demu wangu sijatambulishwa rasmi na tunawasiliana kisiri siri
Hivi majuzi nlimtumia text huyo demu wangu nikamuuliza best ako mzima,nikaambulia matusi ya kutosha na huyo mdada nae alitukanwa pia nikapotezea ,mi nikaendelea kuchat na huyu shemeji angu story nyingi nyingi tu leo naamka nakuta text ya shemeji ,anadai hana furaha
Nikamuuliza Kwa nini akaniambia hana nguo za ndani (chupi) na hela hana.
nikichek mtoto ni booonge la sistaduu, mimi hajawahi kuniona ila mi nishamwona kwenye picha nashangaa ananiambia hana chupi nikamuuliza huna boyfriend ananijibu hana wanamzingua
Shemeji huyu ana 20 yrs na mwenzake kaniambia anatumika kotekote
Inshort shemeji anataka nimnunulie chupi ,hii haki kweli jamanii Kula wale wengine mimi ndo wa kununua chupi HII SAWA JAMANII???.ingawa hajaniambia direct Ila msg zake zinadhihirisha hivi.
Niende moja Kwa moja kwenye mada kwa wiki 1 sasa nachat na shemeji yangu ambae ni rafiki wa demu wangu sijatambulishwa rasmi na tunawasiliana kisiri siri
Hivi majuzi nlimtumia text huyo demu wangu nikamuuliza best ako mzima,nikaambulia matusi ya kutosha na huyo mdada nae alitukanwa pia nikapotezea ,mi nikaendelea kuchat na huyu shemeji angu story nyingi nyingi tu leo naamka nakuta text ya shemeji ,anadai hana furaha
Nikamuuliza Kwa nini akaniambia hana nguo za ndani (chupi) na hela hana.
nikichek mtoto ni booonge la sistaduu, mimi hajawahi kuniona ila mi nishamwona kwenye picha nashangaa ananiambia hana chupi nikamuuliza huna boyfriend ananijibu hana wanamzingua
Shemeji huyu ana 20 yrs na mwenzake kaniambia anatumika kotekote
Inshort shemeji anataka nimnunulie chupi ,hii haki kweli jamanii Kula wale wengine mimi ndo wa kununua chupi HII SAWA JAMANII???.ingawa hajaniambia direct Ila msg zake zinadhihirisha hivi.