Shemeji Mtihani

Shemeji Mtihani

Joined
Sep 9, 2016
Posts
18
Reaction score
6
Nimekuwa Namsifia mpaka wife ananistukia

Anasema kuwa mimi na mdogo wake tunaenda na kitabia. Kila wakati natazama picha zake japo mawasiliano yetu yako limited kwenye whatsapp

hatujazoweana kivileee lakini dah sijui huko mbele itakuwaje

Je hii ni kawaida na je nikipata nafasi ni smash je akikolea je ni handle vipi hii situation??

Kiukweli nampenda zaidi shemeji kuliko wife sasa nifanyeje huu mtihani???
 
Yaani toka Man4ngo aachie wimbo wa "hainaga ushemeji " ndo walaji wa mashemeji zenu mna jiachia tuu! Halaf bila aibu mnaona sifaa!

Yaani we mtu kakufananisha na nduguyo tuu usha mtamani!!

Jiheshimu bro!!
 
Lkn ujue huyo ni mke wa mwingine, wa kwako ulishapata.
Zuia tamaa za mwili, najua zipo tu lkn huwezi kuzitimiza.!
 
Vpi mdogo wako wa kiume akikusaidia nae kumhudumia mkeo huku ukiwa busy na shemeji yako?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom