Shemeji ananitaka

Unawapa mzigo...
🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️😁😁
 
Wanaume ndo yulivyo kutamani tamani ndo jadi.yetu. Wala usikasirike mweleweshe vizuri kwa upole ataelewa
 
Kawaida iyo jamna jipya apo
 
Wakati unagawa mzigo kwa shemeji mimi mwenye mali nitakua nakupiga chabo na kurekodi matukio kwa faida...
 
Vipi naye ulichungulia kibamia chake?
 
Mh! Ila wewe kumbe ndiyo upo hivyo, ila mimi usingenipata aisee
Mkuu ogopa sana kujisifia ugumu ama msimamo mkali, ni mwiko kwa mwanamke kujisifia hayo, kwa sababu umeumbwa kutongozwa!

Kujisifia kukataa wanaume ni sawa na mpishi kujisifia kuwadhalilisha wale wenye njaa wansosorolea mlo aliouandaa.

Porini kuna nyati, swala, nyumbu nk nk wenye pembe zenye ncha kali kwa ajili ya kujihami na adui, ulishaona zinawasaidia kuzuia kuliwa?

Sema Jf ya anonymouse hii, ningelikufahamu ningelikutokea na ningelipita na wewe kimzaha sana waalah.

Na siku moja ningelikuhoji vizuri juu ya msimamo wako wakati tayari tushakuwa wapenzi!

Yaani mimi nimshindwe mwanamke, hata kama ni Waziri nikimtaka nampata, atakuja kujitambua nishalala naye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…