Dume la Nyani
Member
- Apr 14, 2011
- 37
- 8
kuna dem wa rafiki yangu ambaye 2likuwa 2kiishi rum moja 2lipokuwa high xcul now amekuwa akinipigia cm ucku na kunitaka kimapenzi huku akijua kabisa mm na boyfrnd wake ni marafiki wakubwa na kibaya zaidi anasema yuko tayari kuachana na jamaa yake...!