Shemeji ananitaka au mawazo yangu tu?

Shemeji ananitaka au mawazo yangu tu?

Nina miaka 30 ndani ya ndoa...wewe mwenye kid mmoja ndio mgeni wa fani,pole sana hujielewi ukikua utaacha tu.

uwezi kuwa na miaka 30 kwenye ndoa na akili hizo mgando..mimi nakufananisha na pangu pakavu..hahaha
 
Fukara jiheshimu wewe ,...Heshimu Mke wako... heshimu Ndoa yako.. hShukuru kuwa una mtoto..... iwapo utalaghai shem... na kwa kuwa yupo ktk himaya yako... basi huko mbele utaharibikiwa na kupoteza Amani ktk maisha si bure hata uhai wako kuwa na mikosi!! Tosheka na unyumba wa mkeo......
Good sweet luck
 
Last edited by a moderator:
uwezi kuwa na miaka 30 kwenye ndoa na akili hizo mgando..mimi nakufananisha na pangu pakavu..hahaha

Siku akikugundua Mkeo anakutimua tu hapo home na kwa vile ni Jobless utalia na kujutia unachotaka kukifanya now!! Think before u act
 
**** la mkeo chafu unataka la mdogo wake
Amka utafute ela kiazi kibichi wewe

Mwanaume una kijungu unashndwa kukifanyia kazi?
utapakatwa kabla ya huu mwaka kuisha wewe

Una mdomo mchafu ----- wewe....utaolewa na asiyekujua ndooorooobo wewe kwani ukimshauri vizuri ata elewa? Hard desire mkubwa.....
 
acha uoga penati unawaza paisha mpira
 
Yaan mwanaume huna kazi alafu unashinda umelala nyumban?ebu acha kutuchafulia jina la wanaume, Wewe tumia jina la mtoto wa kiume..Jina la mwanaume bado hujalifikia.

Mkuu hivyo vijisenti alivyopata baada ya mkataba kwisha vinamzuzua.

Vikimalizika akili itarudi.....
 
........Wakati nipo sekondari (O-level) , kuna shairi moja lilikuwa linaitwa "Usione ukadhani" nilikuwa nalipenda sana.
 
Akashinde maktaba!! Aisee huu ushauri umekuelezea ulivyo...Big Up Mkuu!

Kama havai vizuri mwambie dada yake amweleze. Halafu kama ni suala la utani na shemeji jambo la kawaida hivyo sio kuwa anataka.

Halafu acha kushinda nyumbani, nenda kashinde maktaba, au tafuta kazi ya kujitolea.

Halafu maktaba wako umeisha au haujawa renewed?
 
Haya malezi ya siku hizi ya kumpeleka mtoto wa miaka 3 shule asubuhi hadi jioni, tunawatesa watoto jamani.
 
Kwa jinsi ulivyo msifia inaonyesha dhahiri kuwa wewe unamtamani shemeji yako na hakuna ukweli wowote kuwa shemeji yako anakutaka,
 
Yani dume zima hata huoni aibu kusema eti waifu anashndia job na wewe unashnda home ukiwa umelala?kuna watu hamkustahli kuwa watanzania kabisa.
 
ww achana nae, na usitumie muda mwingi kukaa nymbn, na wakati mwingne hata kula mchana unaweza sameheg ukila tu asubuh, unaweza kwenda kuongea kwa marafiki mpaka mkeo atakaporudi. hiyo itakufanya usiwe na mawazo nae
 
Unajiita Fukara......

Hii ID yako ina reflect ufukara wa fikra ulionao....
 
I don't think so,instead of wasting your time at home for nothing you better find the work, thus why devil is gonna use you to destroy our couple as soon as possible.
 
Back
Top Bottom