kweli kaongea ukweli,maana wengi humo bungeni wenye kijani wanapiga kampeni na kuchambuo bajeti ambayo ni maoni ya kambi ya upinzani.is she among viti maalim??maana viti maalum wengi wameenda kulinda nafasi zao ili wapewe next time,ndiyo maana nikasema wabunge wetu sio watanzania maana hawajui hata maisha halisi ya mtanzania.mh.mkono pia kaomgea na kuhoji vitu vya msingi kabisa.shinda wabunge wa nyinyiem,wanajenga ngome ya wanamipasho.badala ya kujibi hoja zenye manufaa kwa wananchi wanaonge upuuzi.na akiri zao wanaona eti wananchi tunawashangaa wapinzani,kumbe wao ndi wanaotushangaza na kutubore.