GE2025 Sheikh: Wale wahuni wanaotaka kuandamana wakaombe kibali Serikalini

GE2025 Sheikh: Wale wahuni wanaotaka kuandamana wakaombe kibali Serikalini

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mafyangula

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2025
Posts
505
Reaction score
887
Ndugu Shekhe mishipa imemsimama kuzungumzia maandamano!

Kwahiyo kutakuwa na maandamano ya upande wanaiunga mkono serikali na wale wanaopiga uchaguzi! Hayaaa!!

===============

Wale wahuni wanaotaka kuandamana wakaombe kibali Serikalini huo ndio utaratibu wa maandamano kwa Tanzania na Dunia kote.

Watanzania shikilieni amani tarehe 29 tokeni mkapige kura mkachague kiongozi mnaomtaka, achaneni na maandamano amani hii bado tunaitaka.

 
Siku hizi mbona mashehe wamekuwa na nguvu ya kuishsuri serikali
 
Ndugu Shekhe mishipa imemsimama kuzungumzia maandamano!

Kwahiyo kutakuwa na maandamano ya upande wanaiunga mkono serikali na wale wanaopiga uchaguzi! Hayaaa!!

===============

Wale wahuni wanaotaka kuandamana wakaombe kibali Serikalini huo ndio utaratibu wa maandamano kwa Tanzania na Dunia kote.

Watanzania shikilieni amani tarehe 29 tokeni mkapige kura mkachague kiongozi mnaomtaka, achaneni na maandamano amani hii bado tunaitaka.

Hajitambui huyu ndugu yetu
 
Sasa kati ya wananchi na serikali ni nani anayechafua AMANI?.
mbona kundi la watekaji hamliweki kwenye wachafuzi wa hyo amani?ila kuandamana ndo mnaaona Kuna chafua AMANI?
Mpaka wewe umeliona hilo! Kweli mambo yameiva
 
Ndugu Shekhe mishipa imemsimama kuzungumzia maandamano!

Kwahiyo kutakuwa na maandamano ya upande wanaiunga mkono serikali na wale wanaopiga uchaguzi! Hayaaa!!

===============

Wale wahuni wanaotaka kuandamana wakaombe kibali Serikalini huo ndio utaratibu wa maandamano kwa Tanzania na Dunia kote.

Watanzania shikilieni amani tarehe 29 tokeni mkapige kura mkachague kiongozi mnaomtaka, achaneni na maandamano amani hii bado tunaitaka.

Sheikh kazingua sana.

Lakini hii ndiyo sababu mimi nilisema maandamano andamaneni siku yoyote lakini si siku ya uchaguzi.
 
Sheikh kazingua sana.

Lakini hii ndiyo sababu mimi nilisema maandamano andamaneni siku yoyote lakini si siku ya uchaguzi.
Masheikh wengi wa tanzania ni kama vichaa tu elimu ya dunia hawana hata passport tu hawapewi unamkuta sheikh anataka kwenda nje ya nchi hata kutaja wasifu wake tu mtihani mkubwa,ndo hawa masheikh wetu wanawaza kupata vijisenti nakutishia watu ntakusomea albadiri Sasa tutegemee ataongea nini cha maana kaz kujipendekeza serekalini na kwene vyama vya siasa ili wapate kuonekana.
 
Masheikh wengi wa tanzania ni kama vichaa tu elimu ya dunia hawana hata passport tu hawapewi unamkuta sheikh anataka kwenda nje ya nchi hata kutaja wasifu wake tu mtihani mkubwa,ndo hawa masheikh wetu wanawaza kupata vijisenti nakutishia watu ntakusomea albadiri Sasa tutegemee ataongea nini cha maana kaz kujipendekeza serekalini na kwene vyama vya siasa ili wapate kuonekana.
Sheikh haelewi demokrasia haiendeshwi kwa amri kama dini.
 
Sheikh haelewi demokrasia haiendeshwi kwa amri kama dini.
Tuna mtihani sana basi hawana la maana huyo mzee kibao si muislamu kabisa lkn hawa masheikh wa bakwata hakuna hata mmoja alojitokeza kulaan au hata kupinga rile tukio,basi hawa Wakristo wanakheli zaidi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom