Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,950
- 711
Nilijaribu kuangalia hii picha kwa makini sikuweza kupata jibu mapema. Nilifikiri jamaa yuko msikitini lakini hapa anasaini fomu za kugomea Urais Zenji mbele ya Jaji mkuu wa Zanzibar (Mh. Hamid Mahamoud). Angalia picha sehemu yenye mzunguko mwekundu.
Mwenye maoni tofauti....
Mwenye maoni tofauti....