Sheikh, Prof, Dr, AlHaj. Jammeh aondoka Gambia

Sheikh, Prof, Dr, AlHaj. Jammeh aondoka Gambia

Wapumbavue wamemruhusu wasilalamike.

Mtu kaondoka mbele ya macho yao. Wamemsindikiza na kumuaga. Hawajajisumbua kuhakikisha anakabidhi ofisi na mali za umma. Anaodokoa wanasema kaondoka na hazina!. Pumbavue saana wanyamaze kimya. Kuanza kumfukuzia sijui kumshitaki aje ajibu nini ni upumbavue, kukosa kazi na ni unafiki.

Wameruhusu yafanyike, wanyamaze.

Mkuu uyu ni John wa Gambia,usipaniki.
 
Kachukuwa dola 200 million nasikia...!!
Sija punic na sina sababu kwa sababu hakuna kinachoongezeka wala kupungua kwangu moja moja kutokana na huu ujinga. Isipokuwa ninaudhiwa na hizi tabia mbovu ambazo iongozi wenye nia ovu wamekuwa wakifanya kwa watu wao na hakuna kitu kinafanyika. Kuwanyamazia na kuwaruhusu waendelee kunakuwa mifano mibovu unayoigwa na wengine na wengine.

Kinachoniudhi na hawa Wagambia kuanza kulalamika baada ya mwizi wao kuondoka huku wakimsindikiza. Walikuwa wapi kumdhibiti akabidhi mali za umma? Kama alisafirisha magari ya umma, kwa nini wasiyarudishe walipogundua tu?

Hili ni tatizo la kijinga na aibu kubwa.
Mbona niliona amebeba Qur'an na Tasbihi tu oh na rungu la dawa
Huyu bwana alikuwa na washabiki wengi. Kwanza sehemu ya jeshi la nchi yake lilikuwa likimuunga mkono. pili, bunge lilimpa miezi mitatu aendelee, hii ni kuonesha liko upande wake. Fedha alizochukua hazina hazikuwa katika benki yeyote. Huenda aliogopa kuziweka benki zisije kuwa confiscated. Nne huyu bwana ni mganga/mchawi mahiri, huwezi jua alitumia mbinu gani za asili kuwanyamazisha wasipige kelele hadi alipoondoka. Huyu bwana alikuwa mganga maarufu wa ukimwi enzi za utawala wake. Kama wananchi wangedai fedha vita ingepiganwa, na unajua wahanga wa vita mara nyingi ni wananchi wa kawaida....
 
Joni ameaga na kuwaacha mashabiki zake!...

Kiswahili: Joni, Yohana
Kingereza: John
Kiarabu: Yahya
Ki-dutch: Jan
Kiserengeti: FaruJohn

Kweli ma-John wamekumbwa na bahati mbaya msimu huu!...
View attachment 462917
ule muda ambao aliganda kwanza ikulu alikuwa anajiandaa kukomba kilakilichopo katika mfuko wa Gambia na sasa kasepa na chake baada ya ECOWAS kumchachavya. sijui EAC kama itaweza hii kazi ikiwa siku pembe ya faru John itakapo arise
 
Kuna kitu nakiona mbele kama vile Rais mteule anaweza kushindwa kuongoza wanachi wake vizuri hii ni kutokana na maamuzi yake mengi kutokea nchi jirani mfano maamuzi ya kukagua ikulu yanafanywa na wanajeshi kutoka Senegal. Hapo nadhn kuna makosa kwani ilirakiwa ifanwena ECOMOG na sio majeshi ya nchi moja. Pia na hilivswala la kusema jammaaa kakomba hazina ilokuwa haina haja ya kulalamika kwani tayari yeye keshakuwa Rais ni kuona jinc gani anavyoshirikiana na wchumi wa Nchi yake kuona Nxji inaasonga mbele.mwisho aliangalie jeshi lake kwa jicho la pekee na ikiwezekana alivunje au wanyofoe viongozi wote wakubwa
 
Huyu bwana alikuwa na washabiki wengi. Kwanza sehemu ya jeshi la nchi yake lilikuwa likimuunga mkono. pili, bunge lilimpa miezi mitatu aendelee, hii ni kuonesha liko upande wake. Fedha alizochukua hazina hazikuwa katika benki yeyote. Huenda aliogopa kuziweka benki zisije kuwa confiscated. Nne huyu bwana ni mganga/mchawi mahiri, huwezi jua alitumia mbinu gani za asili kuwanyamazisha wasipige kelele hadi alipoondoka. Huyu bwana alikuwa mganga maarufu wa ukimwi enzi za utawala wake. Kama wananchi wangedai fedha vita ingepiganwa, na unajua wahanga wa vita mara nyingi ni wananchi wa kawaida....

Vita ni strategy. Vita ni mkakati mmoja wapo katika ku protect wananchi.
Huwezi kuacha jizi linakomba mali kwamba vita vingepiganwa. Jeshi halikumuunga mkono. Kura zilizopigwa bungeni zina maana nyingi. Kumbuka siku habari za ndiyoooo na yawezekana hawakujua jamaa ni jizi au walikuwa wanaogopa kutumbuliwa.

Vita ni strategy. Vita ni mkakati mmoja wapo katika ku protect wananchi. Kikosi kidogo cha askari hakiwezi ku black mail nchi kuliachia jizi kwa kuogopa vita. Negotiation ni mkakati. Win win, lose lose. Kama siyvo maana yake hakuwa tayari kuondoka kwa amani. Kamata yeye na watu wake, weka ndani fungua mashtaka!. Otherwise unanikkumbusha "mafisadi yana nguvu. yakishughulikiwa yanaweza kuangusha nchi".!. BAdo unajiita kiongozi msimamizi wa taifa na mlinzi wa wananchi!

Kaondoka na wanajeshi wake? Bila shaka siyo. Wamebaki Gambia na wataendelea kuisoma namba kwa kusafirisha mwizi na mali zao.

Uchawi wake kwa jina la hallah hauwezi kutishia wtu wasifuate katiba kwa hofu ya kurogwa. Angelikuwa na uwezo huo, angebadilisha matokeo kwenye sanduku la kura.
 
Faruuuuuuu.... nasikia ameonekana ukerewe mitaa ya mwambao mwa ziwa nyasa..
 
Masharti ya kuondoka kwake ilikuwa lazima akabidhi ofisi no matter nani alikuw anamlinda. Walinzi wake wote wako na walkuwa chini ya sheria za nchi.
Walinzi hao hao ndo watakao mlinda Baro?
 
Back
Top Bottom