Mda kama dakika 20 zilizopita mjini Morogoro shehe Ponda amepigwa risasi na polisi .
Dhahama hiyo imempata baada ya kushuka kwenye tax ambako kulikuwa leo akiendesha mhadhala baada ya mhadhala huo kukawa kama kuna maandamano kueleke barabarani, gafla polisi walitokea na kuanzanza kutawanya wakati huo yeye alikuwa hayupo.
Ndipo mda mdogo akawasili akashuka na ndipo akapigwa risasi.
------------------------------------
UPDATE:
Haijulikani hali yake. RPC, Faustine Shilogile, anasema hali ni shwari ila Ponda hajui hali yake Maana polisi walizuia gari la Ponda wamkamate, lakini wananchi wakaanza kushambulia polisi ndipo wakarusha risasi hewani kutawanya watu, lakini wananchi wakamtorosha. Anasema taarifa ni nyingi za uongo, hakuna watu polisi wala hospitali waliozingira na anaomba anayejua alipo atoe taarifa.
mkuu, kwani huo ulikuwa mkutano wa siasa?
Pumba @ work,Nadhani wewe ndiyo --------, watu wanaleta uchochezi wa kidini Tanzania kumbe mnafurahia, Mtu anahimiza watu wafanye maandamano kama ya Misri kupitia mgongo wa dini.....tunacheka cheka tu. KAMA ANATAKA SIASA SI AKAANZISHE CHAMA IJULIKANE? Ifike mahari tuheshimu uwepo wa serikali hata kama ni ya CCM au CHADEMA.
hivi kwa nini hawa polisi wanamfatilia sana Shehe Ponda kama mtu asiye huru hapa nchini?
hivi kwa nini polisi watumie silaha za moto kutawanya watu?
Kwanini polisi wanafikiri kuwa risasi ni suluhu?
Akifa huyu atakuja mwingine mkali na mwiba zaidi....
Inalilahi wainnailaihi rajiun. Ameshafariki teyari.
Kwa kauli yako hii inamaanisha matukio haya yaliyofanywa na polisi yalikufurahisha/YanakufuruhishaHabari hii ni kweli au ni uzushi? Kama ni kweli I think for the first tym nitakuwa against Mwema
Wale waliouwawa na polisi the other days hawakuwa watu?
Mda kama dakika 20 zilizopita mjini Morogoro shehe Ponda amepigwa risasi na polisi .
Dhahama hiyo imempata baada ya kushuka kwenye tax ambako kulikuwa leo akiendesha mhadhala baada ya mhadhala huo kukawa kama kuna maandamano kueleke barabarani, gafla polisi walitokea na kuanzanza kutawanya wakati huo yeye alikuwa hayupo.
Ndipo mda mdogo akawasili akashuka na ndipo akapigwa risasi.
------------------------------------
UPDATE:
Haijulikani hali yake. RPC, Faustine Shilogile, anasema hali ni shwari ila Ponda hajui hali yake Maana polisi walizuia gari la Ponda wamkamate, lakini wananchi wakaanza kushambulia polisi ndipo wakarusha risasi hewani kutawanya watu, lakini wananchi wakamtorosha. Anasema taarifa ni nyingi za uongo, hakuna watu polisi wala hospitali waliozingira na anaomba anayejua alipo atoe taarifa.
Wanafuata maagizo ya PindaMhhhhhhh!Tunakoelekea sasa!Kama ana makosa,akamatwe na kufikishwa katika vyombo vya sheria kama walivyokuwa wamefanya mwanzoni.Hili la kutumia risasi siafiki hata kidogo!Pole sana Ponda.
Polisi na CCM watahakikisha kila nayewapinga anauwawa kabla ya 2015....Lakini sasa ndugu zetu waislam wakafumbua macho, wakayaona udhalimu wa CCM na polisi wao. Hapa wamevuka mipaka. Sheikh Ponda amekuwa akiwa akitafutwa sana. Hapa watasema ughaidi kama kawaida yao
Sitashangaa CHADEMA wakitwisha hilo gunia la mchanga !