Sheikh Mohamed Said naomba msaada wako juu ya hili

dos.2020

JF-Expert Member
Feb 17, 2009
9,564
7,854
Nakusalimu maalim Mohamed Said
Hii picha niliikuta katika kumbukumbu zangu, lakini sikumbuki asili nilipoipata, napia mueleo wangu ni mdogo juu ya hili suala, kwaiyo naomba msaada kwa mujibu wa uweleo wako juu ya hichi cheo cha uliwali kilivokua na historia yake pamoja na kilivokufia.
Nitafurahi sana kama utagusia mawili matatu.


 
Nakuwekea kwanza historia ya wakati ule ili umjue Liwali Ahmed Saleh na Sheikh Said Chaurembo kisha nitakuekeza haya mengine kuhusu uliwali.Mohamed Said: LIWALI AHMED SALEH NA SHEIKH SAID CHAUREMBO
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…