Nakusalimu maalim Mohamed Said
Hii picha niliikuta katika kumbukumbu zangu, lakini sikumbuki asili nilipoipata, napia mueleo wangu ni mdogo juu ya hili suala, kwaiyo naomba msaada kwa mujibu wa uweleo wako juu ya hichi cheo cha uliwali kilivokua na historia yake pamoja na kilivokufia.
Nitafurahi sana kama utagusia mawili matatu.
Hii picha niliikuta katika kumbukumbu zangu, lakini sikumbuki asili nilipoipata, napia mueleo wangu ni mdogo juu ya hili suala, kwaiyo naomba msaada kwa mujibu wa uweleo wako juu ya hichi cheo cha uliwali kilivokua na historia yake pamoja na kilivokufia.
Nitafurahi sana kama utagusia mawili matatu.