Sheikh Mawinda: Sikumaanisha Lissu auawe

Sheikh Mawinda: Sikumaanisha Lissu auawe

Elias Msuya

Senior Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
173
Reaction score
671
Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano Dar es Salaam, Sheikh Mohamed Mawinda, amesea kauli yake kuhusu wanaovunja amai nchini aliyoitoa Julai 5, 2025 haikumaanisha kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu auawe.

Akizungumza katika uzinduzi wa kanisa la Arise and Shine uliofanyika Julai 5, 2025 na kuhudhuriwa na Rais Samia Suluhu Hassan jijini Dar es Salaam, Sheikh Mawinda ambaye pia ni kada wa CCM, alisisitiza umuhimu wa amani, akirejea kauli aliyowahi kuitoa Lissu ya kukinukisha na kusema kuwa amefikishwa mahakamani ili kuipima. "Acha mtu akate kichwa chako lakini nchi hii ibaki salama," alisema.
Soma zaidi: Sheikh Mawinda

Lakini akizungumza na The Chanzo leo, Sheikh Mawinda amesema hakumaanisha kuwa Lissu auawe.

Sikiliza:
 
Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano Dar es Salaam, Sheikh Mohamed Mawinda, amesea kauli yake kuhusu wanaovunja amai nchini aliyoitoa Julai 5, 2025 haikumaanisha kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu auawe.

Akizungumza katika uzinduzi wa kanisa la Arise and Shine uliofanyika Julai 5, 2025 na kuhudhuriwa na Rais Samia Suluhu Hassan jijini Dar es Salaam, Sheikh Mawinda ambaye pia ni kada wa CCM, alisisitiza umuhimu wa amani, akirejea kauli aliyowahi kuitoa Lissu ya kukinukisha na kusema kuwa amefikishwa mahakamani ili kuipima. "Acha mtu akate kichwa chako lakini nchi hii ibaki salama," alisema.
Soma zaidi: Sheikh Mawinda

Lakini akizungumza na The Chanzo leo, Sheikh Mawinda amesema hakumaanisha kuwa Lissu auawe.

Sikiliza:
View attachment 3398020
Tatizo linakuja pale Sheikh anapokuwa mwanachama na mkereketwa wa chama cha siasa. Mtume hakuwa hivyo
 
Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano Dar es Salaam, Sheikh Mohamed Mawinda, amesea kauli yake kuhusu wanaovunja amai nchini aliyoitoa Julai 5, 2025 haikumaanisha kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu auawe.

Akizungumza katika uzinduzi wa kanisa la Arise and Shine uliofanyika Julai 5, 2025 na kuhudhuriwa na Rais Samia Suluhu Hassan jijini Dar es Salaam, Sheikh Mawinda ambaye pia ni kada wa CCM, alisisitiza umuhimu wa amani, akirejea kauli aliyowahi kuitoa Lissu ya kukinukisha na kusema kuwa amefikishwa mahakamani ili kuipima. "Acha mtu akate kichwa chako lakini nchi hii ibaki salama," alisema.
Soma zaidi: Sheikh Mawinda

Lakini akizungumza na The Chanzo leo, Sheikh Mawinda amesema hakumaanisha kuwa Lissu auawe.

Sikiliza:
View attachment 3398020
Tunajua Uislam Umesimamq kwa Upanga na Damu. Na ndio maana Muslims are aggressive . Hata Saudia, ukizini unanyongwa, nchi za Kiarabu wanauana sana. So shekh punguza Utetezi sisi wengine tulikuelewa…… ni moja katika Mafundisho yenu kiiman. Baadh ya Verse za Quran zina entertain wars …. Mfano vita vya Badr etc etc ….. Malaika walikuwa wanakata Shingo makafiri
 
Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano Dar es Salaam, Sheikh Mohamed Mawinda, amesea kauli yake kuhusu wanaovunja amai nchini aliyoitoa Julai 5, 2025 haikumaanisha kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu auawe.

Akizungumza katika uzinduzi wa kanisa la Arise and Shine uliofanyika Julai 5, 2025 na kuhudhuriwa na Rais Samia Suluhu Hassan jijini Dar es Salaam, Sheikh Mawinda ambaye pia ni kada wa CCM, alisisitiza umuhimu wa amani, akirejea kauli aliyowahi kuitoa Lissu ya kukinukisha na kusema kuwa amefikishwa mahakamani ili kuipima. "Acha mtu akate kichwa chako lakini nchi hii ibaki salama," alisema.
Soma zaidi: Sheikh Mawinda

Lakini akizungumza na The Chanzo leo, Sheikh Mawinda amesema hakumaanisha kuwa Lissu auawe.

Sikiliza:
View attachment 3398020
images.jpeg
 
Mjinga mkubwa.
Anaongea hayo ili tumbo lake lishibe tu haangalii madhara ya kauli hiyo kwa taifa lake.
 
Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano Dar es Salaam, Sheikh Mohamed Mawinda, amesea kauli yake kuhusu wanaovunja amai nchini aliyoitoa Julai 5, 2025 haikumaanisha kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu auawe.

Akizungumza katika uzinduzi wa kanisa la Arise and Shine uliofanyika Julai 5, 2025 na kuhudhuriwa na Rais Samia Suluhu Hassan jijini Dar es Salaam, Sheikh Mawinda ambaye pia ni kada wa CCM, alisisitiza umuhimu wa amani, akirejea kauli aliyowahi kuitoa Lissu ya kukinukisha na kusema kuwa amefikishwa mahakamani ili kuipima. "Acha mtu akate kichwa chako lakini nchi hii ibaki salama," alisema.
Soma zaidi: Sheikh Mawinda

Lakini akizungumza na The Chanzo leo, Sheikh Mawinda amesema hakumaanisha kuwa Lissu auawe.

Sikiliza:
View attachment 3398020
hallucination
 
Hawa CCM akili hawana. Mwenzake huyu hapa
 
Sheikh wa kweli hajihusishi na Siasa
 
Back
Top Bottom