Sheikh Katimba: Makonda achunguzwe

We mzee inabidi ukalee wajukuu sasa hivi ...miaka 60+ yoote hiyo bado upo kwenye keyboard kuandika upuuzi!!
 
mimi huwa najiuliza ingetokea Makonda akamtaja Sheikh yoyote tu katika List yake kama alivyofanya kwa gwajima hali ingekuwaje?
 

Tuhuma zinatolewa na mtu yeyote kwa yeyote.
Wajibu wa kukanusha upo kwa aliyetuhumiwa na wajibu wa kupeleleza ni wa askari na maafisa upelelezi, wakijiridhisha wanawajibu wa kupeleka mahakamani.
 
Hahhah mwanafunzi wa kind gaten akikukutwa na iPhone 7 wakati mwalimu anatumia tecno lazima alelekwe ofisini kwa ajili ya uchunguzi
 
BAKWATA ni branch ya Kanisa katoliki na CCM...
Ndio maana wamejaa wachumia tumbo huko Kama yule sheikh ubwabwa wa DSM.
Huko Kuna wanafiki na watu wa kujipendekeza, sincerely BAKWATA hakuna mtu mwenye akili nzuri mwenye uwezo wa kuja na hoja unbiased Kama ya huyo sheikh.
 
Hawa watu ni wanafik sana aiseeeeeee.......
Juzikati walimpigia makofi na kumshangilia pale Paul alipo ahidi kuwajengea Nyumba ya sala......[emoji34] [emoji34].
Ebu ngoja niishie hapa, maana nimesha kasirika
Mkuu sio hao,wale ni wale jamaa wa yule Sheikh Ubwabwa wa Mkoa
 
Sheikh hapo kaongea ukweli. Ila nimependa kauli yake "vita dhidi ya dawa za kulevya inaweza kwenda vibaya endapo itasimamiwa na wanasiasa"
 
Msukuma alisema viongozi wamepigwa ganzi na makonda,amna atakae thubutu kumchunguza.
 
Mbona una attack past ya mtu... Paulo kwenye kitabu cha wakristo alikua muuaji lakini mwisho wa siku akawa mtume.
Sembuse huyo DJ!?!?
Yeye katoa hoja attack hoja yake...
 
Hawana lolote hao kwanza waanzwe wao kuchunguzwa kuna mashehe mahabusu karibu miaka ninne sasa wanateseka bila sababu ya msingi wao wamechukua hatua gani kuhakikisha wanatoka zaidi porojo tu
 
Hawana lolote hao kwanza waanzwe wao kuchunguzwa kuna mashehe mahabusu karibu miaka ninne sasa wanateseka bila sababu ya msingi wao wamechukua hatua gani kuhakikisha wanatoka zaidi porojo tu
Tafadhali usichanganye mada!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…