L Leopold Rwegoshora JF-Expert Member Joined Oct 29, 2016 Posts 327 Reaction score 256 Nov 9, 2016 #21 mambo yao....
Ng'egera JF-Expert Member Joined Jun 12, 2013 Posts 766 Reaction score 420 Nov 9, 2016 #22 Kwanza kabisa hatakiwi kumuomba msamaha sheikh bali amuombe msamaha ALLAH SUHANA WA TAALAH kwani ndie aliemkosea na kutoa shahada upya.
Kwanza kabisa hatakiwi kumuomba msamaha sheikh bali amuombe msamaha ALLAH SUHANA WA TAALAH kwani ndie aliemkosea na kutoa shahada upya.
byeyombo JF-Expert Member Joined Sep 3, 2015 Posts 3,923 Reaction score 5,190 Nov 9, 2016 #23 Wote ndio Kwanza nawasikia
Abuu Kauthar JF-Expert Member Joined Jul 10, 2011 Posts 4,489 Reaction score 6,883 Nov 9, 2016 #24 kabombe said: Mkuu tumia lugha ya staha kwa viongozi wa dini hata kama huwaamini Click to expand... Ni kwel aliyemkosea ni Mungu anapaswa kutubia na sio kwenda kwa hao mashehe ubwabwa
kabombe said: Mkuu tumia lugha ya staha kwa viongozi wa dini hata kama huwaamini Click to expand... Ni kwel aliyemkosea ni Mungu anapaswa kutubia na sio kwenda kwa hao mashehe ubwabwa
Mr.Junior JF-Expert Member Joined Sep 8, 2013 Posts 12,983 Reaction score 11,794 Nov 9, 2016 #25 Muwe mnaleta habari kamili, wengine tunaona kiarabu hapa
peri JF-Expert Member Joined Mar 22, 2011 Posts 2,579 Reaction score 1,168 Nov 9, 2016 #26 Mr.Junior said: Muwe mnaleta habari kamili, wengine tunaona kiarabu hapa Click to expand... Fuatilia Habari mkuu, kuna uzi humu unamhusu huyo sheikh Hamza akitoa tafsiri ya aya za Qur'an ambayo sio sahihi. Nikipata nafasi Nita uweke
Mr.Junior said: Muwe mnaleta habari kamili, wengine tunaona kiarabu hapa Click to expand... Fuatilia Habari mkuu, kuna uzi humu unamhusu huyo sheikh Hamza akitoa tafsiri ya aya za Qur'an ambayo sio sahihi. Nikipata nafasi Nita uweke