Temporary01
JF-Expert Member
- May 12, 2011
- 260
- 70
Sio kosa,Kwani ni kosa kwa muislamu kuingia kanisani?
Sasa anaomba kosa gani,aliingia akakarbishwa kuongea nae akaongea kadili Mungu alivyomjaliaSio kosa,
Sikuwahi kumsikia,ila inaonekana matamshi yake yalikua yanaeneza chuki na kuhatarisha amani,ndio mana wakamketisha chini na kumkanyaSasa anaomba kosa gani,aliingia akakarbishwa kuongea nae akaongea kadili Mungu alivyomjalia
Kuna clip niliona sehemu inster,nadhan kuna kitu aliongea kana kwamba na yeye ni mkristo huenda ndio huko kimewaudh....Sikuwahi kumsikia,ila inaonekana matamshi yake yalikua yanaeneza chuki na kuhatarisha amani,ndio mana wakamketisha chini na kumkanya
Sheikh Massawe.Hahaaaa![]()
![]()
Mkuu tumia lugha ya staha kwa viongozi wa dini hata kama huwaaminisasa kaenda kwa hao masheikh ubwabwa kwani ndio aliwakosea wao hadi akawaombe msamaha?!hii bakwata mungu anawaona