Shehe: Profesa Janabi anataka kutuua, atatuvunjia ndoa

Hakuna watu wa hovyo kama watu wanaojificha kwenye magwanda ya udini. Yako mambo ya kuongea hadharani na yako mambo sio, unaongea mambo ya kikubwa humo msikitini kuna watoto wengi tu wanakuja kuswali. Nini tunawafundisha. Hii imekuwa fashion siku tena nasema viongozi wa dini zote wamekuwa wanaongea mambo yasiokuwa na staha kwenye misikiti na makanisani. Unaweza kuwa uko kanisani na mkeo, watoto zako sijui wajukuu anatokea muhibiri anaongelea mambo ya ngono. Na misikitini hivyo hivyo.
mi sio muislam waraaa waraa na simba wa manzese we zombi haujui...wala mkristo, ila mbona hata biblia inaongelea ngono kuna sehem wameandika "akapaka rungu mafuta kisha akamla mkewe akatulia mithir ya maji kwenywe chopezo, akamgida kwa kumkunja mithiri ya uume kukatika" kasome habakuki
 
mi sio muislam waraaa waraa na simba wa manzese we zombi haujui...wala mkristo, ila mbona hata biblia inaongelea ngono kuna sehem wameandika "akapaka rungu mafuta kisha akamla mkewe akatulia mithir ya maji kwenywe chopezo, akamgida kwa kumkunja mithiri ya uume kukatika" kasome habakuki
Mkuu kitabu cha Habakuki sio cha kibiblia ndio maana hakikuingizwa kwenye biblia takatifu. Ni kitabu cha kipagani.
 
Mzunguko wa siku 2/2 huenda ikasaidia ila unatakiwa utoe bao 2 kwa kila mke kwahio kwa week nzima zisipungue bao 8 dah ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚!

1. J3 na j4 kwa Sabrina.
2. J5 na alhamisi kwa Latifa.
3. IJumaa na Jmosi kwa Leilah
4. Jumapili kwa Mulky

Otherwise uwe unalala kila week kwa mke mmoja ila hio itakuwa mbaya kupigiwa ni kugusa tu๐Ÿ˜‚
Umeona eeh? Sasa bao zote hizo mtu unashindia kipande cha muhogo si utakufa mkuu? Huyu Profesa anataka kutuua tuache wake zetu w@nat0mbw@ na masela.
 
Mimi nadhani wazee wenzangu mtu ukifika miaka 60 ni bora uachane na sex uangalie mambo mengine au mnasemaje wa mnasemaje ndugu zanguni......
๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
 
Analalamika nn kwani ni lazima afuate ushauri wake?ye ale ashibe afurahishe wake zake
Sasa atakulaje ashibe wakati Profesa anamtisha kuwa akishiba atapata maradhi ya moyo? Kudinya na kuacha kula kipi bora?
 
Shehe mmoja ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja amesikika akisema kwamba, kwa ulaji ule wa Profesa Janabi, ukiwa muislamu mwenye wake wanne unaweza kushindwa kumlisha mkeo "chakula cha chini" na hatimaye ndoa zikavunjika.

Amesema haya akiwa na maana kuwa ukibahatika kuoa mwali machachari anayependa kuona mume akishinda kifuani kwake kwa saa 24, utakosa pumzi ya kumhudumia kisawasawa na matokeo yake ndoa itakata roho mapema sana. Sitaki kusema mengi, hebu msikilize wewe mwenyewe hapa chini.

View attachment 2942667
MAONI YANGU
Namuunga mkono huyu shehe tena nampongeza sana kwa ujasiri wa kuweka hili jambo bayana kwani watu wengine wanazo hoja kama yeye lakini wanaogopa kutoka hadharani na kusema kwa kumuogopa Profesa Janabi. Watu jasiri kama hawa ndio wanatakiwa katika nchi hii ili nchi iapate maendeleo haraka.

Nawasilisha.
Na huyu shehe naye namkubali sana aisee. Sasa kama imehararishwa kudinyana usiku wa funga, Prof Janabi anataka tule muhogo mmoja ili iweje?

 
Mimi nadhani wazee wenzangu mtu ukifika miaka 60 ni bora uachane na sex uangalie mambo mengine au mnasemaje wa mnasemaje ndugu zanguni......
๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
Sex kwa manaume haina kikomo mazee na unazaa kama kawaida. Unatupotosha.
 
Sasa mzee baba miaka 60 si nguvu za kupuliza puliza yanini purukushani....ni kheri upumzike tu.......๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
Ukiwa unakula vizuri kwa kufuata masharti ya Prof Janabi utapiga kazi mpaka utashangaa. Kuna wazee wa miaka 80 wanaoa na kuzaa. Kapuya ana miaka 80 lakini mwaka jana kaoa kigoli na tayari kakizalisha mtoto.
 
Ukiwa unakula vizuri kwa kufuata masharti ya ProfJanabi utapiga kazi mpaka utashangaa. Kuna wazee wa miaka 80 wanaoa na kuzaa. Kapuya ana miaka 80 lakini mwaka jana kaoa kigoli na tayari kakizalisha mtoto.
Duh!!
Kapuya kumbe kale kabinti bado anaishi nako tu na mtoto juu.....labda anajibust bhana.....umri kama huo hawezi kuwa nguvu za kumridhisha huyo binti.........
 
Duh!!
Kapuya kumbe kale kabinti bado anaishi nako tu na mtoto juu.....labda anajibust bhana.....umri kama huo hawezi kuwa nguvu za kumridhisha huyo binti.........
Ukizingatia ulaji mzuri na kufanya mazoezi huhitaji booster mkuu. Babu yangu alioa kabinti akiwa na miaka 90 na akafyatua watoto bila shida
 
Ukizingatia ulaji mzuri na kufanya mazoezi huhitaji booster mkuu. Babu yangu alioa kabinti akiwa na miaka 90 na akafyatua watoto bila shida
Inawezekana hivyo kwa udongo wa zamani siku hizi vijana wakifika miaka 45 keisha kazi.....mke anamuanglia kwa macho tu......anawapa waganga wauza mizizi tu
 
Back
Top Bottom