mr pipa
JF-Expert Member
- Jul 26, 2021
- 2,331
- 4,857
mi sio muislam waraaa waraa na simba wa manzese we zombi haujui...wala mkristo, ila mbona hata biblia inaongelea ngono kuna sehem wameandika "akapaka rungu mafuta kisha akamla mkewe akatulia mithir ya maji kwenywe chopezo, akamgida kwa kumkunja mithiri ya uume kukatika" kasome habakukiHakuna watu wa hovyo kama watu wanaojificha kwenye magwanda ya udini. Yako mambo ya kuongea hadharani na yako mambo sio, unaongea mambo ya kikubwa humo msikitini kuna watoto wengi tu wanakuja kuswali. Nini tunawafundisha. Hii imekuwa fashion siku tena nasema viongozi wa dini zote wamekuwa wanaongea mambo yasiokuwa na staha kwenye misikiti na makanisani. Unaweza kuwa uko kanisani na mkeo, watoto zako sijui wajukuu anatokea muhibiri anaongelea mambo ya ngono. Na misikitini hivyo hivyo.