ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 44,214
- 50,942
Shehe Kisq amesema wale ambao hawatambui juhudi zilizofanywa na zinazofanywa na Rais Samia kimsingi wanasukimwa na Roho mbaya na sio uhalisia wa mambo.
---
Kiongozi mmoja wa madhehebu ya Kiislamu nchini Sheikh NURDEEN KISHQ amezungumzia umuhimu wa Watanzania kutambua na kupongeza juhudi zinazofanywa na Rais @samia_suluhu_hassan katika kuleta maendeleo endelevu nchini.
Akizungumza jijini DAR ES SALAAM katika hafla ya wanawake kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan, kuwa kinara wa nishati safi ya kupikia, mazingira na afya ya mama na mtoto iliyohudhuriwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, kiongozi huyo ambaye taasisi yake ya Alhikma Foundation imeandaa mashindano ya makubwa ya kimataifa ya usomaji QURAN Tukufu tarehe 24 mwezi huu amesema kila mmoja kuanzia ngazi ya familia, taifa, bara la AFRIKA na dunia kwa jumla wanatambua mchango wa uongozi wake Dkt SAMIA SULUHU HASSAN.
View: https://www.instagram.com/reel/C4VsxyhMoJC/?igsh=MTB2NGNoOW12ZHhwMg==
My Take
Naunga mkono hoja ya Sheikh.
Toka Tanzania imepata Uhuru hakuna Rais aliyewahi mwaga mabilioni Kwa mabilioni kila sekta ya Nchi hii kushinda Samia.
View: https://www.instagram.com/p/C4QnwpMt_ju/?igsh=MXVoM2x2aGUwZ2E2ag==
---
Kiongozi mmoja wa madhehebu ya Kiislamu nchini Sheikh NURDEEN KISHQ amezungumzia umuhimu wa Watanzania kutambua na kupongeza juhudi zinazofanywa na Rais @samia_suluhu_hassan katika kuleta maendeleo endelevu nchini.
Akizungumza jijini DAR ES SALAAM katika hafla ya wanawake kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan, kuwa kinara wa nishati safi ya kupikia, mazingira na afya ya mama na mtoto iliyohudhuriwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, kiongozi huyo ambaye taasisi yake ya Alhikma Foundation imeandaa mashindano ya makubwa ya kimataifa ya usomaji QURAN Tukufu tarehe 24 mwezi huu amesema kila mmoja kuanzia ngazi ya familia, taifa, bara la AFRIKA na dunia kwa jumla wanatambua mchango wa uongozi wake Dkt SAMIA SULUHU HASSAN.
View: https://www.instagram.com/reel/C4VsxyhMoJC/?igsh=MTB2NGNoOW12ZHhwMg==
My Take
Naunga mkono hoja ya Sheikh.
Toka Tanzania imepata Uhuru hakuna Rais aliyewahi mwaga mabilioni Kwa mabilioni kila sekta ya Nchi hii kushinda Samia.
View: https://www.instagram.com/p/C4QnwpMt_ju/?igsh=MXVoM2x2aGUwZ2E2ag==