She is here now, I need her back

haaah.
what is this now? wakuu, can you see what is girl saying..
Nimepata message whatapp
" umedelete my namba haya bhana".
nadhani hii inatokana na maamuzi yangu niliyoyafanya jana.

pia naomba niwajibu wale wote waliokuwa na daught over our ages..
inshort sisi sio watoto wadogo hata kidogo
moreen is a big girl na kazi yake tu.
then mimi pia nimeanza kujitegemea muda mrefu sasa, handling my child on my own.
So maandishi au point za hapa zisiwape wrong definition about how old are we..

Tukirudi kwenye hayo maneno nikiyoquote hapo juu.
sijui hili mnalionaje wakuu.
Its like she didnt accept my action of letting her Go.
Naona hata nyie mnaona.
cc; sungura1980 amu, xfactor, Kaunga, Rich Pol EMT mwallu, Bantu lady miss neddy Chelea, anitha baby, Heaven on Earth, Kaizer Phenomenon Lady kidaganda, LifeHacker, Mwadunda, Dillish wa kwetu BADILI TABIA Rogie, Kilaza kichunafk gize Rapunzel wangewange, Tangopori Khantwe LORDVILLE Ukwaju kamusi(shukrani kwa mchango wako hapo juu..).

na wengine ambao sijawataja.
angalieni maamuzi ya moreen
huyo anataka kucheza na akili yako na kuona unaumia zaidi. Wake up, na usirudi nyuma. Ukiweza badili na namba kabisa tuone atakutafutia wapi.
As for our MOUREEN bby wote tulishakuwa na wanaume wa kwanza but mkishaachana na mambo kuwa magumu kama hvyo ts better kupeana space ili kila mmoja asahau na kupona vidonda vyenu.
Lazma mu-act as adults kama mnavyosema.
 
Last edited by a moderator:
nmeona thread imeisha nam namalizia hapa nimewaelewa wote sasa na swali kwa wote waliochangia humu je ni nani alaumiweeee kati yetuu:nod:

Nikisoma comment zako mpaka nang'ata meno kwa hasira. Hivi hiyo no staili ya kuandika au unatupumzikia? Mwenzako ashaamua na kama ni uongo na anaendelea kuwa na wewe. Pabaya panamuita.

Afu najizuia nsilaumu sana sababu we bado mdogo sana. Tumika. Kua. Ujue nini kinaongelewa hapa.

Eti unauliza wa kulaumiwa? Inakuuma? Pilipili usiyoila yakuwashiani? Tulia ulipo na umaarufu wako.

Umaarufu hoyeee (kwa staili yako ya kuandika) nawasilisha na ku ansabuskraibu.
 
yeah!!! sure heaven

Ujue nimekusomaaaaaaa af naona kama hujui law of the jungle aseee!
Kwanini unakubali kuwa mickey toy kiasi hiki?
Hebu wachana na hii makitu!
Kulia Lia namna hii hakukutafsiri kama mwanaume mwenye kuweza kukabili changamoto za maisha.
Some of women like I,hii sio species ya mwanaume anayevutia!
Ukiingia kwenye mahusiano mengine na aina hii ya dispute handling utalia kila siku!
Sitaki kukwambia ulikuwa sahihi kutokuendelea na huyu bidada,wakati mwingine tunakutana na watu ili tuazime kama sio kubadili namna yetu ya kufikiri!
Aina hii ya majadiliano mliyoichagua inawatafsiri nyie ni watu wa aina gani!
Huyu si aina ya mwanamke anayekufaa
Hata nae we we si aina ya mwanaume unayemfaa
Enendeni mkajichanfanye na ulimwengu mkaipate mbavu zenu za pili!
The soooner the better,namaanisha kunyanyuka hapo ulipo!
Si nyakati zote wapenzi wetu wa kwanza huwa ni chaguo sahihi kuwa our life partners!
Hata kwenye interviews wanaulizaga una uzoefu wa miaka mingapi kwenye hii post unayoomba!
Sawa eeenh!?
 
Ujue nimekusomaaaaaaa af naona kama hujui law of the jungle aseee!
Kwanini unakubali kuwa mickey toy kiasi hiki?
Hebu wachana na hii makitu!

snowhite, haya makitu nishatemana nayo

Kulia Lia namna hii hakukutafsiri kama mwanaume mwenye kuweza kukabili changamoto za maisha.

changamoto zamaisha napambana nazo ipasavyo.
Namshukuru Mungu kwa mafanikio niliyofikia mpaka sasa..

Some of women like I,hii sio species ya mwanaume anayevutia!
Ukiingia kwenye mahusiano mengine na aina hii ya dispute handling utalia kila siku!
Sitaki kukwambia ulikuwa sahihi kutokuendelea na huyu bidada,wakati mwingine tunakutana na watu ili tuazime kama sio kubadili namna yetu ya kufikiri!

niko makini sana mkuu, handling yangu si yakidhaifu sana as u may think, huyu bibie nilimuhitaji sana. i was trying my level best to get her back,
ndiyo maana nikaamua kutumia njia hii pia
japokuwa si njia sahihi sana.


Aina hii ya majadiliano mliyoichagua inawatafsiri nyie ni watu wa aina gani!
Huyu si aina ya mwanamke anayekufaa
Hata nae we we si aina ya mwanaume unayemfaa
Enendeni mkajichanfanye na ulimwengu mkaipate mbavu zenu za pili!
The soooner the better,namaanisha kunyanyuka hapo ulipo!
Si nyakati zote wapenzi wetu wa kwanza huwa ni chaguo sahihi kuwa our life partners!
Hata kwenye interviews wanaulizaga una uzoefu wa miaka mingapi kwenye hii post unayoomba!
Sawa eeenh!?

nashukuru pia kwa ushauri ulionipa.
Naweza pia kukupa sababu nyingine zilizofanya niweke hili swala public, ni baada ya kufanya mawasiliano ya muda mrefu, for nothing!! nikawiwa kuliweka public nikiamini hapa kuna mawazo mengi zaidi na ushauri wa kujenga,
nafurahi kwasababu pia nimejifunza mengi na kupata experience kutoka kwa watu wengine.
xfactor na wengine mawazo yao n ya msingi sana.
Sidhani kama nimekosea sana kuandika hili swala hapa jukwaani.
then kwani kujionyesha mtu ulivyo ni dhambi?
 
Last edited by a moderator:
we endelea tu na mambo yako, usimtafute wala nini, endelea na safari usigeuke nyuma..japo kwa mbali anaonysha bado anakupenda sana na hataki mkatishe mawasiliano..inavyonyesha ni kweli ana mtu lkn hayuko settled uko aliko..

sasa wewe cha kufanya usimtafute wala nini, umeshaangaika sana, inatosha bro..mwache yeye upande wake roho imsute..
na mimi nakwambia atakutafuta, i tel you.......tena atakupigia magoti na kukuomba msamaha, kama tuko hai panapomajaliwa ya Mola utatujulisha....

wanawake wengine mikosi kweli, yaani mtu unapendwa hivi halafu unachezea bahati? kweli penye miti hapana wajenzi..
 
Hey URAN be a man,umeshasema ukaeleweka,ushalia ukasikika sasa its time to stop this,funga mjadala huu kwa kutoandika tena,kuendelea kulialia ni kujidhalilisha bwana,'YOU DONT NEED TO CRY TO BE A MAN'.
 
Hey URAN be a man,umeshasema ukaeleweka,ushalia ukasikika sasa its time to stop this,funga mjadala huu kwa kutoandika tena,kuendelea kulialia ni kujidhalilisha bwana,'YOU DONT NEED TO CRY TO BE A MAN'.

thank you. i wouldnt say a word again.
its over...!!
 
snowhite, haya makitu nishatemana nayo



changamoto zamaisha napambana nazo ipasavyo.
Namshukuru Mungu kwa mafanikio niliyofikia mpaka sasa..



niko makini sana mkuu, handling yangu si yakidhaifu sana as u may think, huyu bibie nilimuhitaji sana. i was trying my level best to get her back,
ndiyo maana nikaamua kutumia njia hii pia
japokuwa si njia sahihi sana.




nashukuru pia kwa ushauri ulionipa.
Naweza pia kukupa sababu nyingine zilizofanya niweke hili swala public, ni baada ya kufanya mawasiliano ya muda mrefu, for nothing!! nikawiwa kuliweka public nikiamini hapa kuna mawazo mengi zaidi na ushauri wa kujenga,
nafurahi kwasababu pia nimejifunza mengi na kupata experience kutoka kwa watu wengine.
xfactor na wengine mawazo yao n ya msingi sana.
Sidhani kama nimekosea sana kuandika hili swala hapa jukwaani.
then kwani kujionyesha mtu ulivyo ni dhambi?

Then Kudos!
 
Last edited by a moderator:
wanawake wengine mikosi kweli, yaani mtu unapendwa hivi halafu unachezea bahati? kweli penye miti hapana wajenzi..
mmmh! makubwa, kwa maandishi ya jf tu unaona jamaa anampendaa!!! moreen baby endelea na msimamo wako huo huo. hata mimi jitu lipotee halafu litake kurudi siwezi kukubali. mahusiano yao hayakupangwa na wasilazimishe.
 
Last edited by a moderator:
Hahahaa. Hawa marafiki wa kike mara mwisho kuonana nao ilikuwa tulipoagana asubuhi wao wakielekea shopping, sie tukielekea kibandaumiza tayari kucheki ngoma ya Man City na Southampton.

Mpaka usiku ndo tumemaliza kuangalia mechi ya Chelsea na Stoke, so tumeptia hapa kona bar kupata moja baridi kabla ya kuelekea kunako.

Sasa ukiangalia hapo washkaji siwezi watumia salamu as nilikuwa nao tokea moning kama unavyowaona akina Ntuzu, Katavi, Mentor, Mbu na wengine hapo kwenye picha tuliyotuma twita.

_65551370_159980404.jpg



Mkuu EMT,

Mbona kuniita huku kwenye majonzi?
uran, habari ya asubuhi mkuu!
 
Last edited by a moderator:
asanteni kwa mawazo yenu

songa mbele mwaya, mie namjua mdada alikataliwa na baba yake asiolewe na mwanaume kisa dini tofauti. zaidi ya miaka mitatu waliendelea tu kuwa wapenzi huku hawajui hatma yao. mzee kaona atakataa hadi lini! imebdi akubali mwezi mwaka huu na mahari ishatolewa. huo ni mfano tu wa mapenzi ya dhati. sio huyu anarudi kulia lia na mtoto juu. usihadaike na maneno maana wanaume ndivyo walivyo.
 
Mapenzi ni ushenzi kila mtu analalamika lakini bado mnayakimbilia tena bora kujihudhuru.
 
mapenzi ni kumpataa anayekupenda na www ukampenda ila maisha ya wasi wasi katika mapenzi ni hatari sana
 
mapenzi ni kumpataa anayekupenda na www ukampenda ila maisha ya wasi wasi katika mapenzi ni hatari sana

What goes around comes around. Siku moja utaomba second chance kwa mtu uliyemkosea na utateseka hivyohivyo. Make sure you don't regret. Sikiliza nafsi yako, kama una friends wanaokushauri mi ninaona uangalie real love.
 
Back
Top Bottom