Hahaha @ Manchester ya Tandale
Kwa hiyo Boss unadhani mtoto wa kike anaeambiwa afanye kazi za kike ndo kuwa anakumbana na "put down" nyingi?
Ni kisa cha weekend kwa kweli; jamaa yangu mmoja kaja juu dhidi ya mke wake kwa sababu mkewe ka-admit kwake kuwa ni kweli yuko attracted to a co-worker japo huyo co-coworker hajajua kabisa kinachoendelea. Mke kaadmit akiaini kuwa ni bora kusema mapema kabla mambo hayajaenda pabaya. Sasa kumwambia jamaa jamaa kaja juu na maswali lukuki akijihoji kuwa labda yeye ndiye sababu au kuna vitu hafanyi japo mwanamke anasema kabisa wala haihusiani na yeye (mume) ni kitu ambacho hata mwanamke hakielewi kwanini yuko attracted na huyo mtu mwingine - tumuite John.
Sasa, shemeji yetu hamwelezi mshikaji kwa sababu anasema kama angekuwa na nia mbaya asingemwambia (jamaa anasema labda amesema ili kuhalalisha). Lakini she swears hajafanya lolote lakini alikuwa anajihisi kama amecheat maana yuko comfortable sana na huyo John na ana enjoy sana company yake. Hajui kama anampenda au anamtamani
Mshikaji anaamini yuko sahihi kukasirika na sasa hivi amekuwa more than insecure kwani shemeji yetu kwa kweli wamo. Imeanza kuleta mgogoro usio wa lazima...
Kweli kuwa attracted bila kufanyia kazi ni kucheat na je kuna hekima kumwambia mwenzio majaribu unayoyapata huko kazini na usipomwambia yakafikia pabaya nani wa kulaumiwa?
Jamani mbona wapo hata wanaume wanawaambia wapenzi wao kuwa kuna mdada ofisini namuadmire sana,yaan shez ol that an bla bla bla,kila cku haish kumtamka,tatizo utandawizi ume2jaa 2najidai 2naish kizungu.kwamba 2ko open kuna vi2 vingine vinakera eti,2ish maisha ye2 yakitz 2 ni mazur sana kuliko kuiga maki2 ya ajabu
EXACTLY....
chukulia huyo binti ana interest za kuwa refa wa football hapo baadae...
but akienda mpirani anaambiwa 'nenda jikoni'....au labda anataka kufanya
bussiness inayo relate na football....umeona????
Mimi nadhani kumlea msichana Kama msichana anaejua majukumu yake kama msichana(baadae mwanamke) kwenye jamii ni muhimu mno. Na kumlea hivyo hakuna maana kuwa unam put down.
Muhimu apewe na nafasi ya kufanya mengine anayoyapenda kwa wakati wake
tatizo ni 'how to walk that line....' ya kuhakikisha anayajua majukumu yake kama msichana..
na wakati huo huo ajione ana uwezo wa kufanikiwa regardless ya jinsia yake
Unataka kunambia my mom did such a good job? Mie nilijua ni normal tu. Maana kwa jiko hapa usinchezee; pilau langu la pweza kuliko la hoteli
Ni ngumu kusema....hilo pilau la pweza acha tu lol....
but if its true...labda alifanikiwa....but why only your mom????
labda majirani,baba,kaka,shule......na kadhalika au pengine
kuishi 'manchester' ndio ilisaidia lol
Jamani mbona wapo hata wanaume wanawaambia wapenzi wao kuwa kuna mdada ofisini namuadmire sana,yaan shez ol that an bla bla bla,kila cku haish kumtamka,tatizo utandawizi ume2jaa 2najidai 2naish kizungu.kwamba 2ko open kuna vi2 vingine vinakera eti,2ish maisha ye2 yakitz 2 ni mazur sana kuliko kuiga maki2 ya ajabu
Dada, kaka, shule na majirani wanachangia kwa kiasi chao, ila ulezi wa mtoto yoyote mama ndo msingi nadhani.
Btw, niishi 'Manchester' niringe! Labda hiyo ya Tandale! :]
Dada, kaka, shule na majirani wanachangia kwa kiasi chao, ila ulezi wa mtoto yoyote mama ndo msingi nadhani.
basi kumbe 'manchester' yetu ya tandale imeweza aisee lol
Umekuwa mkubwa bila kuathirika na downers...lol
tandale oyee.....lol
Hmm....wengine baba!