Sharo "b" yoooooo!

Ernie

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2010
Posts
217
Reaction score
29
Sharobaro kaenda Loliondo si akapewa kikombe cha maji ya uzima na babu, akasogea chini ya mti kwa muda bila kunywa huku kashikilia suruali yake isianguke! mchungaji akamuuliza vipi mbona hunywi dawa? Sharo akajibu, NASUBIRI MRIJA MEEEN! Duh atapona kweli?
 
huyo aponi kesha vunja masharti ya dawa
 
Yaani huyu dogo ni noma! sjui masharobaro wana akili gani?
 
mwishoni hiyo dawa itanywewa na kunguru. Arudi alikotoka. Duh hafai
 
Mrija! Ningekuwa mimi ndio babu ningemmwagia dawa yote usoni.
 
Ndo yaleyale ya G.MBOTO sharobaro alilipuliwa na BOMU coz aliambiwa apande ROLI kasema "NTACHAFUKA MEN"
Haya ning'inia kwenye DALADALA " NASUBIRI TAX MEN".
 
Ndo yaleyale ya G.MBOTO sharobaro alilipuliwa na BOMU coz aliambiwa apande ROLI kasema "NTACHAFUKA MEN"
Haya ning'inia kwenye DALADALA " NASUBIRI TAX MEN".

hahahahhaha mbomu ukamlipukia sio hahahahah shro b yooooooo
 
Hivi usharobaro ni kuwa mzembe mzembe eeeh! Inachekesha sana
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…