Sharia ya 'Financial Fair Play' ianze Tanzania.

Msisina

Senior Member
Aug 23, 2019
194
162
Wana jamvi nimekuwa nikifuatilia soka letu hapa bongo, na kuona ni wakati sasa BMT iitake TFF kuingiza kifungu cha Kudhibiti Mapato ya kutoka nje ya Club, kwa lugha nyingine ikiitwa Financial Fair Play. Hali hii inatokana na kufuatilia mwenendo wa ligi yetu sasa VPL ambapo zimeonekana timu kubwa kama vile Simba, Azam na hata Yanga zikiingiza fedha nyingi kutoka kwa wadau wake huku timu nyingine nyingi zaidi ya 80% zikihaha kiuendeshaji.
Mifano mizuri kama hiyo tumeiona ktk nchi zinazohitaji fair play ikiwemo ligi ya Uingereza na kwingine.
Hivyobasi sio tu kwa kufanya hivyo tutaweza kuimarisha fairness ya soka, pia kutawezesha kupata wawakilishi bora wa soka ndani na nje ya nchi
 
Hali hii inatokana na kufuatilia mwenendo wa ligi yetu sasa VPL ambapo zimeonekana timu kubwa kama vile Simba, Azam na hata Yanga zikiingiza fedha nyingi kutoka kwa wadau wake huku timu nyingine nyingi zaidi ya 80% zikihaha kiuendeshaji.
Financial Fair Play itasaidiaje kuondoa hili?
 
Wana jamvi nimekuwa nikifuatilia soka letu hapa bongo, na kuona ni wakati sasa BMT iitake TFF kuingiza kifungu cha Kudhibiti Mapato ya kutoka nje ya Club, kwa lugha nyingine ikiitwa Financial Fair Play. Hali hii inatokana na kufuatilia mwenendo wa ligi yetu sasa VPL ambapo zimeonekana timu kubwa kama vile Simba, Azam na hata Yanga zikiingiza fedha nyingi kutoka kwa wadau wake huku timu nyingine nyingi zaidi ya 80% zikihaha kiuendeshaji.
Mifano mizuri kama hiyo tumeiona ktk nchi zinazohitaji fair play ikiwemo ligi ya Uingereza na kwingine.
Hivyobasi sio tu kwa kufanya hivyo tutaweza kuimarisha fairness ya soka, pia kutawezesha kupata wawakilishi bora wa soka ndani na nje ya nchi
timu za ulaya zinajiweza mashirika yao y mipira yanajiweza hela zipo wadhamini makampuni makubwa yapo cio kila kitu cha uefa lazima kifanywe Africa
Ulaya mauzo tu ya wachezaji yanawafaidish bongo mchezJi gani atauzwa adi timu ijiwez
 
Wana jamvi nimekuwa nikifuatilia soka letu hapa bongo, na kuona ni wakati sasa BMT iitake TFF kuingiza kifungu cha Kudhibiti Mapato ya kutoka nje ya Club, kwa lugha nyingine ikiitwa Financial Fair Play. Hali hii inatokana na kufuatilia mwenendo wa ligi yetu sasa VPL ambapo zimeonekana timu kubwa kama vile Simba, Azam na hata Yanga zikiingiza fedha nyingi kutoka kwa wadau wake huku timu nyingine nyingi zaidi ya 80% zikihaha kiuendeshaji.
Mifano mizuri kama hiyo tumeiona ktk nchi zinazohitaji fair play ikiwemo ligi ya Uingereza na kwingine.
Hivyobasi sio tu kwa kufanya hivyo tutaweza kuimarisha fairness ya soka, pia kutawezesha kupata wawakilishi bora wa soka ndani na nje ya nchi
Unapoleta mada unatakiwa uwe umefanyia utafiti wa kutosha
 
Kafanye utafiti uje kuandika Uzi...kinyume Na hapo ni mboyoyo tupu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom