cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,864
- 75,982
Fidia ipi?? Au wao ndio watulipeHii fidia safari hii mtalipa watoto wa mafisadi wa CCM na baba zenu. Hamuwezi kutuingiza kwenye hasara halafu wakati wa kusokotwa tubebe mzigo wote.haipo hiyo.
Fidia ya kuvunja makubaliano.Fidia ipi?? Au wao ndio watulipe
Na kama wao ndio wamevunja je?? Kwan makubaliano gan amevunjwa mpka sasa?Fidia ya kuvunja makubaliano.
Itajulikana. Umeisoma taarifa ya acacia?Na kama wao ndio wamevunja je?? Kwan makubaliano gan amevunjwa mpka sasa?
Kwamba unadhan watakubali kijinga jinga,,tusubiri na tume nyingine halaf tutarud hapa,,tusianze kutoa hukumu wakat bado chakula hakijapakuliwaItajulikana. Umeisoma taarifa ya acacia?
Mtumie anko magu
Ova
Fanya umtumie anko magu alone ripoti hyoHa ha haaaaaa
Anawachakachua haswa
Magufuli oyeeeeeeee
Fanya umtumie anko magu alone ripoti hyo
Ova
Hii fidia safari hii mtalipa watoto wa mafisadi wa CCM na baba zenu. Hamuwezi kutuingiza kwenye hasara halafu wakati wa kusokotwa tubebe mzigo wote.haipo hiyo.
Makubaliano ya kutubiwa? Ni nani aliesaini mikataba ya kuibiwa na hawa watu,na kama nchi tuwalipe fidia ya nini tena wakati sisi ndo tulio ibiwa?Fidia ya kuvunja makubaliano.
Sawa ila Tuwe na akiba ya manenoNitamtumiaje! atasoma tu humu, ila yeye anakila habari mbele yetu hata tusiyoyajua wananchi sisi.
Hapa kazi tu
Magufuli oyeeeeee
Acha wafilsike tu wezi hao25/05/2017
12:28 hrs
View attachment 514216
View attachment 514222
View attachment 514223
18:07 hrs
View attachment 514375
26/05/2017
10:23 hrs (mida ni ya huko UK)
View attachment 514786
View attachment 514787