Share a Coke with Domokaya !

Huyu jamaa kwenye romance akiwa anakula kiss na mtu anaweza funika sura yote
 
Jamani huyo mtu kwenye mambo ya mpunga si hafai?wakati wewe unanawa uanze kula yeye ananawa ameshamaliza kula
 
Jamani huyo mtu kwenye mambo ya mpunga si hafai?wakati wewe unanawa uanze kula yeye ananawa ameshamaliza kula
Yaani ni kijiko vs tingatinga
Lazima ukae....
 
Nasikia maandazi huwa anatafuna kama karanga 😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…